Tunashuhudia amani kwa mara ya mwisho Tanzania

Haiwezekani sasa ni miaka 30 tangu Nyerere aondoke madarakani bado tunalia makosa yake. Nyerere amekufa tunasubiri afufuke aje kurekebisha alipokosea?

Mara kadhaa najiuliza baada ya Nyerere hatujawahi kupata Marais wengine. Kwa nini hawakusahihisha makosa ya Nyerere kwani wao hawakukosea chochote?

Marais hao ni wakristo kwa waislamu lakini bado tunalalamika udini na makosa ya Nyerere kwenye uchumi nk. Why?????????
 
Ili amani irejee lazima serikali ichukue nafasi yake katika taifa letu kwa kulinda amani,umoja wa kitaifa bila kujali rangi za watu,dini zao,makabila yao na maeneo watotokako watu. Vilevile viongozi wa dini wachukue nafasi zao,wasiwe watu wa kuchönganisha zaidi kuliko kupatanisha.vilevile viongozi wa dini wasiruhusu wanasiasa kutumia imani za dini zao kwa maslahi ya kisiasa. Vilevile tusiamini kila kinachosemwa na viongozi wa dini kwamba kipo sahihi, wapime kabla ya kutekeleza hayo matakwa ya viongozi wa dini.kuna viongozi wa dini ni dhahiri shahiri hawalitakii mema taifa letu tuwakatae kwa nguvu zote kama ukoma au ukimwi. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Haiwezekani sasa ni miaka 30 tangu Nyerere aondoke madarakani bado tunalia makosa yake. Nyerere amekufa tunasubiri afufuke aje kurekebisha alipokosea?

Mara kadhaa najiuliza baada ya Nyerere hatujawahi kupata Marais wengine. Kwa nini hawakusahihisha makosa ya Nyerere kwani wao hawakukosea chochote?

Shosti itatugarimu zaidi kama miaka mia na nusu, kupata kiongozi kama NYERERE
 
Pia watoto wetu ni wadadisi, tunapofundisha dini, tusiwatishe kwa maelezo ya uongo. watataka kujaribu kuona ukweli wake ukoje? Yule mtoto alichofanya si kudharau kitabu kitakatifu, alijaribu kuona ukweli ukoje.

mwezi huu mwanangu mdogo wa miaka 6 yuko darasa la pili amekuwa anakutana na matukio ya vurugu za nchi za kiarabu na sasa Tanzania kwenye TV aliniuliza swali hili????

Dad, Muslim are bad people?????

Aliweza kubaini kwa sababu anajua kiingereza na kiswahili na mavazi ya watu wanaoonekana kwenye matukio hayo.

Hii ndio changamoto tulionayo katika kuiweka jamii yetu salama.
 
Kwa nini tunafikiri kuendelea kumlaumu Nyerere aliyekufa na sasa ni maiti ilibaki mifupa kwamba ndio tutakuwa tumeondokana na matatizo yetu?

Hata kama ni kweli Nyerere alileta udini, Marais waliofuata walifanya nini kuondosha udini huo???? Basi na wao walikuwa wadini.
 
Hilo halina ubishi............sio lazima tufanye reference ya bbc ila ukweli wenyewe uko wazi.....hata wale aliosema tuwakatae km ukoma ambao ni akina kikwete, lowasa na malecela ndo hao hao wamekuwa na uchu wa madaraka kwa gharama zozote hata kumwaga damu ikiwezekana.....
 
Tufike mahali tujiulize Ally Hassan Mwinyi alisahihisha yapi ya mwalimu.

Benjamini alisahihisha yapi ya Nyerere na Mwinyi.

Jakaya Kikwete kasahihisha yapi ya Nyerere, Mwinyi na Mkapa.

Bila shaka atakuja Rais wa 100 bado tutasema Nyerere, huku ni kukosa maarifa.
 
Hii hali sasa ni tete kweli, nilikuwa najenga nyumba yangu hapa Dar nimeamua kuacha kuendelea na ujenzi kwa sababu nimegundua siku sio nyingi watanzania tutakuwa wakimbizi. Sijui watanzania tukiwa wakimbizi tutakimbilia wapi?hakuna nchi inayotuzunguka ambayo inaweza kuubeba mzigo huu.

Hali hii nadhani inamhusu mtu yeyote mzawa wa Tanzania ukiachilia hao akina Farid na Ponda ambao tumeelezwa sio wazawa, Farid ni Myemen na Ponda ni Mkongo sasa wao wanauchungu gani wakati ndugu zao hawako hapa, nyumba,mashamba na mali zao haziko hapa, mashemeji,mashangazi na wazazi wao hawako hapa.

Ndugu zangu watanzania tuamke, tujitambue kwamba tusitumiwe na mamluki hawa kwa sababu yoyote ile. Sababu ya kuhatarisha amani yetu haiwezi kuwa kubwa kwani ni akili zetu ndio zinazokuza haya pamoja na uchochezi wa mamluki.

Serikali hii tuliyoiweka madarakani tunaiambia kudumisha usalama wa nchi hii mlioukuta muulinde, hili sio ombi imeelezwa kwenye katiba iliyowaweka madarakani.

Sio lazima kuweka chembe chembe za unafiki na chuki ili makala yako ipendeze...
 
Mtoto aliyekojolea kitabu alikipata wapi? na ni nani aliyemuambia akojilee?

MWENYE KOSA KUBWA SANA NA WAKUTAFUTWA NI ALIYESEMA UKIKIKOJOLEA UTAGEUKA.... NA KUKITOA ILI KIKOJOLEWE. JE ALIKITOA ALITOKA DINI GANI?.

NAKUBALI YA KUWA ALIYEKIKOJOLEA ALIFANYA MAKOSA. PIA TUANGALIE UPANDE MWINGINE WA SHILINGI YA KUWA PIA ALIYEKITOA KITABU PIA ALIKUWA NA MAKOSA TENA MAKUBWA SANA. NA SIJUI ALITUMWA NA NANI?
 
mwezi huu mwanangu mdogo wa miaka 6 yuko darasa la pili amekuwa anakutana na matukio ya vurugu za nchi za kiarabu na sasa Tanzania kwenye TV aliniuliza swali hili????

Dad, Muslim are bad people?????

Aliweza kubaini kwa sababu anajua kiingereza na kiswahili na mavazi ya watu wanaoonekana kwenye matukio hayo.

Hii ndio changamoto tulionayo katika kuiweka jamii yetu salama.

Mtoto wako anaongea kiingereza?...Sio lazima kuandika uwongo.
 
Tanzania tumeingiliana kindugu na kidini si ajabu kukuta mwislamu baba yake ni mkristo na mkristo kukuta baba yake ni Mwislamu kwa kubadili dini lakini pia mtu wa dini ya kiislamu ana wajomba, mawifi, mashemeji, dada, kaka,mkwe, shangazi, mjukuu, kitukuu, binadumu wa dini tofauti na ya kwake.

Vita ya kidini ikianza tutauana ndugu,
 
Mtoto wako anaongea kiingereza?...Sio lazima kuandika uwongo.

ndugu, kama huwapeleki watoto shule za maana kizazi hiki hautaamini kwamba mtoto wangu wa miaka 6 anaongea kiingereza kizuri tu kutoka shule zetu za kisasa sio kutoka shule ya kata.Nalipa mwenyewe sio serikali. wapo walionielewa na udadisi huo kwani uko nyumbani kwao pia katika mambo mablimbali. Ndio maana nimetoa mfano huo na matukio anayoshuhudia kwenye TV
 
Nini kazi ya Kikwete kama rais.? Amekua dhaifu mno,hana maamuzi sahihi,mwoga na mkwepa lawama...watanzania sijui kwa nini tulimchagua kikwete Rais ambae hayaelewi majukumu yake na hajitambui kwa nini yupo pale... Namkumbuka Mkapa shujaa wangu, Rais mwenye sauti ya uongozi...wakati wa kuhutubia taifa kila mtu alikua bize kumsikiliza...sio huyu ndugu yetu kutwa kuchwa kiguu na njia kuhemea,akienda akirudi matatizo yanaongezeka ni kama anahemea misaada ya shida...Mungu tunusuru na hili janga.!!
 
Kwa sasa baada ya ile experiment ya 'kukojolea' kufeili, wengine wanawadanganya watoto ktk madrasa, eti ukinyea quoran lazima utakuwa 'chizi au paka au mende'..... Kwa mtaji huu, sipati picha mtoto atakayejitokeza kuinyea, itakuwa je!!!!!
 
Pia watoto wetu ni wadadisi, tunapofundisha dini, tusiwatishe kwa maelezo ya uongo. watataka kujaribu kuona ukweli wake ukoje? Yule mtoto alichofanya si kudharau kitabu kitakatifu, alijaribu kuona ukweli ukoje.
JAMANI naomba mnijuze. Aliyekwenda kuleta hiyo Qua'rn ikakojolewa alikuwa Mkristu au Muislam? Kama ni Mkristu aliipata wapi? na kama ni Muislam alileta alifanywa nini? Mwenye kosa zaidi ni aliyeileta akiwa anaijua fika ni kitabu kitakatifu au aliyeikojolea bila kuifahamu? Mbona HUKUMU inakuwa ni ya upande mmoja?
 
Labda nami nitoe machache kulingana na mtizamo wangu hii dini ya kiislam ni tatizo dunia nzima hebu angalia nchi zinazo ongozwa na hii imani ni machafuko kwenda mbele mfano somalia,sudani,misri,nigeria kaskazini,afugastani,pakistani nk kama kuonewa wanaonewa wao tu duniani?Je mungu anafurah anaposikia wanajilipua kuua wenzao?wanavyochoma makanisa anafurah? kosa dogo la watoto watu wazima na ndevu lukuki mandamano eti kulaani acha hilo swedeni mtu alichora vikaragosi na marekani ile move dunia nzima mandamano ndo mungu anawasifu na kuwaona wasafi kweli eh...

Ndugu watukufu waislam tusitumiwe na magaidi yaliyoshindikana eti warabu sijui wakongo hao kikinuka hawatakuwepo na tutatamani tuyarudie maisha ya sasa ambayo tunalalamika mfumo kristo ambao mimi naona ni uzushi kwani wanaongoza nchi ni dini gani? nakuuliza wewe hapo.. raisi,makamu,usalama nk ni dini gani?

Hali ngumu ya maisha ni mfumo mbaya wa viongozi wetu, kuwachukia wakristo coz wana hospital,shule nk havisaidii hata kidogo jua dua la kuku halimpati mwewe kinachotakiwa ni sisi kujitahidi kuwafikia wakristo kwa kujenga shule,hospitali nk kama wao kwani wao si watu kama sisi tofauti dini wao wamewezaje?

Last but not least kujiunga na OIC sio guarantee ya waislamu kujikwamua na hali ngumu ya maisha na hatuwezi kujiunga kwa kulazimisha kisa waislam ni wengi kama waarabu wana nia ya dhati kwa nini wasifanye sasa na hata kama tutajiunga bila mimi na wewe kufanya kazi na kujielimisha hatuwezi fanikiwa tutakuwa walalamishi hivi hivi
Asanteni
 
(kwa sasa baada ya ile experiment ya 'kukojolea' kufeili, wengine wanawadanganya watoto ktk madrasa, eti ukinyea quoran lazima utakuwa 'chizi au paka au mende'..... Kwa mtaji huu, sipati picha mtoto atakayejitokeza kuinyea, itakuwa je!!!!!)

kumwambia mtoto wako akojilee au kunyea kitabu ni kupungukiwa na maadili.

Ni kumfunza mtoto namna ya kudharau imani za wengine. Ni vizuri kuheshimu imani za wengine. Kuheshimu sio ndio kuamini, bali fahamu ya kuwa heshima ni muhimu na ndio inadumisha upendo na amani.

Picha utaipata tu ya kuwa atadharau imani zingine na baadae, pia mtoto akijua mapungufu yako ndio atakudharau zaidi na ndipo utakapolia na kusaga meno.

Zaidi ya hapo mtoto ndivyo atakavyoonekana hata kwa jamii na atafunzwa na dunia sababu wewe ulikuwa unamchekelea akinyea vya wengine. Atanyea hata vingine kwa jamii na atapata mshahara wake wa vipigo vya mitaani ili apate adabu
 
Mtoto aliyekojolea kitabu alikipata wapi? na ni nani aliyemuambia akojilee?

MWENYE KOSA KUBWA SANA NA WAKUTAFUTWA NI ALIYESEMA UKIKIKOJOLEA UTAGEUKA.... NA KUKITOA ILI KIKOJOLEWE. JE ALIKITOA ALITOKA DINI GANI?.

NAKUBALI YA KUWA ALIYEKIKOJOLEA ALIFANYA MAKOSA. PIA TUANGALIE UPANDE MWINGINE WA SHILINGI YA KUWA PIA ALIYEKITOA KITABU PIA ALIKUWA NA MAKOSA TENA MAKUBWA SANA. NA SIJUI ALITUMWA NA NANI?

katika hali ya utengamano wa taifa mtoto wa miaka 14 angejua ni kosa kukojolea kitabu cha dini ama yake au ya mwingine. Hii inaonyesha malezi yetu katika ngazi ya familia yanavyoshuka kwa kasi.

Mtoto aliyemtisha mwenzake kwa jambo ambalo haliamini anaingia kwenye kundi la watoto wanaotoa dhihaka kwa mambo ya msingi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom