Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 12,500
- 17,571
Kuwanyosha wahuni wenzako serikalini na wauza ngada wa msogaNa ukatiri wake ni kitu gani hasa cha maana alichokifanya?zaidi ya kuleta maafa tu kwa wananchi!!Eti mwananchi kulalamika maisha magumu nalo ni kosa akamatwe!!!ndugu akipotea eti ukitoa taarifa polisi na wewe ukamatwe!!tunachoweza kusema MUNGU FUNDI