Tunaprint t-shirt

jussine

Member
Jul 18, 2016
36
16
Tupo dodoma.
Mawasiliano ni

0757877963

0718877410

8ed066e7d106a43d90293b10f90aae52.jpg
0cedfafeabac5bef8d6ae42c07dfe30b.jpg
 
Mna print logo ninayoitaka mimi au mnazo zenu mimi nafanya kuchagua tu
Logo unayoihitaji mwenyewe mkuu. Tunapenda upate kitu unachokihiitaji mwenyewe. Japo zipo logo zetu na kama unayo yako tunakuundia tu
 
Gharama nikama 3.5M


Japo kama utaweza kwakutumia local material gharama ninafuu japo itakucost muda

Mkuu hebu ningeomba mchanganuo wa hiyo 3.5M ni bei ya machine tu. Au ukijumuisha na mambo mengine...?
 
Naomba kujua gharama za heat press machine mdau na zinapatikana wapi kwa hapa bongo?
 
Naomba kujua gharama za heat press machine mdau na zinapatikana wapi kwa hapa bongo?
Oky. Mchanganuo ni kama hivi.
Printing machine zinapatikana kariakoo. Kuanzia 2.2m nakuendelea kulingana na ukubwa wa machine. Lazima uwe na computer.
Rangi pia na vifaa vingine vya uchoraji. Pia lazima ujue kuchora maana kuna logo zingine hazikubali machine inapidi uweze kuziandaa. Pia kuna mbinu za kuchanganya rangi. Maana ukikosea tu utashangaa mtu akifua zinafutika. Niutaalam kidogo. Karbu dom kwa mafunzo zaidi
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom