GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,545
- 108,861
Ni 'Akili' ya kawaida tu isiyotaka ujihangaishe sana tu Kujua kuwa Kukaa Kwako Kawe ambako pengine kutokana na 'Unafiki' wako kama 'Mdau' kama hakuna Maendeleo basi haimaanishi kuwa Kawe nzima hakukuwa na Maendeleo. Tena nadhani Mbunge Halima Mdee anastahili Kongole/ Pongezi nyingi tu kwani pamoja na 'Kuandamwa' mara kwa mara na Kesi zisizo na Kichwa, Miguu na Kiuno mara Kusumbuliwa na Spika Ndugai huku akikosa 'Ushirikiano' wa Serikalini lakini bado tu Dada wa Watu ameweza Kujitahidi Jimboni.
Wakati tukiwa ni 'Viherehere' tena tuliojaa 'Unafiki' mwingi leo hii tukiwa tunauliza Halima Mdee kafanya nini ndani ya miaka yake 10 kama Mbunge na Sisi pia tujiulize je, kwa miaka yetu zaidi ya 25 hadi 30 katika 'Tasnia' zetu fulani fulani za 'Kijamii' na Sisi tumefanya lipi la maana ambalo tunavyoelekea 'Uzeeni' sasa Watanzania 'watatuumbuka' na kuonekana uwepo Wetu umeleta Tija na Kuchangia katika Maendeleo ya Taifa letu hili.
Halafu siku zingine tuwe makini na 'Kuhoji' kwetu kwani ni aibu pia kwa Mwanaume mzima mwenye 'Akili' zako tena Baba wa Familia kabisa 'Kuhoji' Ufanisi wa Mwanamke ambaye kwa 'takribani' miaka yake yote Kumi (10) kama Mbunge wa Kawe aliweza Kuchaguliwa na 'Kura' zipatazo 107,989 (2015) wakati wengine kama akina Sisi GENTAMYCINE katika 'Kura' za Utiaji Nia tu pekee 'tumeambulia' Kura Moko (Moja) pamoja na 'Umaarufu' wetu wote Mitandaoni humu (siyo JamiiForums) na Mitaani pia.
Ushauri wa bure tu tukisaidie Chama chetu CCM 'Kushinda' ila 'tukome' kuhoji 'Mafanikio' ya Watu wakati wengine yetu tu Watanzania hawayajui.
Wakati tukiwa ni 'Viherehere' tena tuliojaa 'Unafiki' mwingi leo hii tukiwa tunauliza Halima Mdee kafanya nini ndani ya miaka yake 10 kama Mbunge na Sisi pia tujiulize je, kwa miaka yetu zaidi ya 25 hadi 30 katika 'Tasnia' zetu fulani fulani za 'Kijamii' na Sisi tumefanya lipi la maana ambalo tunavyoelekea 'Uzeeni' sasa Watanzania 'watatuumbuka' na kuonekana uwepo Wetu umeleta Tija na Kuchangia katika Maendeleo ya Taifa letu hili.
Halafu siku zingine tuwe makini na 'Kuhoji' kwetu kwani ni aibu pia kwa Mwanaume mzima mwenye 'Akili' zako tena Baba wa Familia kabisa 'Kuhoji' Ufanisi wa Mwanamke ambaye kwa 'takribani' miaka yake yote Kumi (10) kama Mbunge wa Kawe aliweza Kuchaguliwa na 'Kura' zipatazo 107,989 (2015) wakati wengine kama akina Sisi GENTAMYCINE katika 'Kura' za Utiaji Nia tu pekee 'tumeambulia' Kura Moko (Moja) pamoja na 'Umaarufu' wetu wote Mitandaoni humu (siyo JamiiForums) na Mitaani pia.
Ushauri wa bure tu tukisaidie Chama chetu CCM 'Kushinda' ila 'tukome' kuhoji 'Mafanikio' ya Watu wakati wengine yetu tu Watanzania hawayajui.