Ni mtazamo ambao wengi hawautilii maanani kabisaaaa ,ndio maana kuna uzi huko nyuma ulitrend sana humu kwamba kuna jamaa ana magorofa Kariakoo anatembea na mguu eti hali bata na kuna mwenye Vogue lakini anaishi nyumba ya kupanga, maisha ni vile unavyoyapangilia na vile unavyoona inafaa kwako wewe kwahiyo unaweza kuona kama mwenzio anakosea klitu flani kumbe yeye ndio utaratibu wake wa maisha wala unachowaza wewe sio anachowaza yeye.
Na kikubwa zaidi unaposema una enjoy maisha kwako wewe sio lazima unachofanya na kwa mwezio ndio akione ndio kigezo cha kula bata. Be yourself.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.