Tunapoteza muda kujadili vitu vidogo vidogo mno, tuweni serious tafadhali

Utakuwa una ufinyu mkubwa wa akili. Kodi ambayo inongeza gharama za maisha ya kila siku ya Watanzania huku mishahara ikiwa haijaongezwa kwa miaka sita na wengi wakiwa hawana ajira unaona ni kitu kidogo!?

Haya mambo hayaendi kwa utashi wala hisia, bunge (wananchi) wamejadili kwa kujiridhisha na kuipitisha.

Bahati nzuri ilikuwa hoja ya mbunge, wala halikuwa wazo la serikali. Wabunge kazi yao, pamoja na mambo mengine…. ni kuishauri serikali.
 
Hilo genge la wahuni waliokusanywa na dhalimu mwendazake unaliita Bunge!? Siku ukitia akili kichwani utaelewa. Kwa sasa endelea kuandika ujinga wako.

Haya mambo hayaendi kwa utashi wala hisia, bunge (wananchi) wamejadili kwa kujiridhisha na kuipitisha.

Bahati nzuri ilikuwa hoja ya mbunge, wala halikuwa wazo la serikali. Wabunge kazi yao, pamoja na mambo mengine…. ni kuishauri serikali.
 
Kwa hiyo maccm yanatozwa ndiyo tuukubali uporaji wa hii Serikali haramu!?

Bwashee kutoa macho hakutobadili chochote, hatuna serikali zaidi ya hii unayoiita haramu…. tutii mamlaka na tuache zifanye waliyotuahidi.
 
Serikali iliyopora uchaguzi nchi nzima unataka niite Serikali halali!? Akili za wapi hizi!? 😳

Bwashee kutoa macho hakutobadili chochote, hatuna serikali zaidi ya hii unayoiita haramu…. tutii mamlaka na tuache zifanye waliyotuahidi.
 
Serikali iliyopora uchaguzi nchi nzima unataka niite Serikali halali!? Akili za wapi hizi!?

Sasa hii kulialia ni hadi lini? Kama ni haramu mbona unaiomba itende mema!

Tuweni siriazi japo kidogo tafadhali.
 
Wewe ndiyo kuwa serious acha kuandika ujinga wako kutaka kuminya uhuru na haki ya Watanzania kuikosoa hii Serikali haramu inapofanya maamuzi ya hovyo. Haki na uhuru ambao uko ndani ya katiba. Wewe nani nchi hii hadi utake kuzuia uhuru na haki hizo za Watanzania!?

Sasa hii kulialia ni hadi lini? Kama ni haramu mbona unaiomba itende mema!

Tuweni siriazi japo kidogo tafadhali.
 
Ndugu zangu!

It’s too much of pity issues. Imagine kama Taifa tunapiga kelele kupinga tozo za miamala! Jamani?

Uzalendo uko wapi?

Imeshatolewa ufafanuzi kuhusu dhamira ya serikali kukusanya mapato hayo, lakini bado ni kelele ambazo tunajua kabisa hazina faida yoyote.

Bunge limeshapitisha, haikuhitaji mawazo ya kila mwananchi. Na haiwezi kufutwa kwa utaratibu huu, sasa ni nini hiki?

Kama una mawazo mbadala yenye tija basi kuna namna ya kuyawasilisha ili kusaidia vyanzo vya mapato kwa serikali yetu sikivu.

Hebu tuweni siriazi ndugu zangu, kodi ni kwa maendeleo ya Taifa lolote huru.

Kwa kupenda kujadili matukio kila siku litaibuka jipya ili turukie, hakuna lililowahi kufika mwisho.

Inatosha.
Hopeless!!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wewe ndiyo kuwa serious acha kuandika ujinga wako kutaka kuminya uhuru na haki ya Watanzania kuikosoa hii Serikali haramu inapofanya maamuzi ya hovyo. Haki na uhuru ambao uko ndani ya katiba. Wewe nani nchi hii hadi utake kuzuia uhuru na haki hizo za Watanzania!?

Uhuru ni haki yetu, basi tuutumie vema. Tujadili mambo yenye tija.
 
Ndugu zangu!

It’s too much of pity issues. Imagine kama Taifa tunapiga kelele kupinga tozo za miamala! Jamani?

Uzalendo uko wapi?

Imeshatolewa ufafanuzi kuhusu dhamira ya serikali kukusanya mapato hayo, lakini bado ni kelele ambazo tunajua kabisa hazina faida yoyote.

Bunge limeshapitisha, haikuhitaji mawazo ya kila mwananchi. Na haiwezi kufutwa kwa utaratibu huu, sasa ni nini hiki?

Kama una mawazo mbadala yenye tija basi kuna namna ya kuyawasilisha ili kusaidia vyanzo vya mapato kwa serikali yetu sikivu.

Hebu tuweni siriazi ndugu zangu, kodi ni kwa maendeleo ya Taifa lolote huru.

Kwa kupenda kujadili matukio kila siku litaibuka jipya ili turukie, hakuna lililowahi kufika mwisho.

Inatosha.

Kweli hizi threads za kujadili vitu vidogo zimeshatuchosha
 
Ndugu zangu!

It’s too much of pity issues. Imagine kama Taifa tunapiga kelele kupinga tozo za miamala! Jamani?

Uzalendo uko wapi?

Imeshatolewa ufafanuzi kuhusu dhamira ya serikali kukusanya mapato hayo, lakini bado ni kelele ambazo tunajua kabisa hazina faida yoyote.

Bunge limeshapitisha, haikuhitaji mawazo ya kila mwananchi. Na haiwezi kufutwa kwa utaratibu huu, sasa ni nini hiki?

Kama una mawazo mbadala yenye tija basi kuna namna ya kuyawasilisha ili kusaidia vyanzo vya mapato kwa serikali yetu sikivu.

Hebu tuweni siriazi ndugu zangu, kodi ni kwa maendeleo ya Taifa lolote huru.

Kwa kupenda kujadili matukio kila siku litaibuka jipya ili turukie, hakuna lililowahi kufika mwisho.

Inatosha.
Wewe ni mmoja Kati ya wizara kaa Kimia,

KWA Sasa tunashudia ssh Rais anaanza utawala wa mwendazake ,but hautamsaidia asema BWANA, na ndivyo ilivyo, taifa laenda kuchacha, kisa ku huvaaa utukufu ,Sio mda atavuna akipandacho, iwe mvua au masika ,tz Sio ya makatibu tena ,asema bwana
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mtoa hoja ameleta fikra za kipuuzi. Unaposema suala la tozo ni dogo, unaupima udogo kwa kipimo kipi?

Suala la tozo ni kubwa sana, ndiyo maana hata Serikali imekaa na kutafakari njia zote za kupata hela ikakosa, mahali pekee ilipoona inaweza kuokoa miradi inayoweza kusimama kujengwa, ni kwa kuingiza tozo kwenye miamala.

Unataka kuwahadaa watu kuwa na Serikali imeamua kupata hela kwenye kutoka kwenye jambo dogo?

Kama hujui, chochote kinachoweza kuwagusa wananchi wengi kwa kiasi kikubwa, positively au negatively, ni jambo kubwa.
 
Back
Top Bottom