Tunapotaka kutumia nguvu kubwa Kupindua Meza kwa Kaizer Chiefs FC je, tunaoenda kukutana nao Semi Finals tutawaweza?

Najua kuanzia sasa nguvu Kubwa ya Kupindua Meza (kwa Fitna za nje ya Uwanja) zitaanza Kutumika ili Kuwafunga Kaizer Chiefs FC Wikiendi ijayo huku tukidanganywa sana kuhusu uwezo wa Timu yetu na Kuaminishwa mno na Kauli Mbiu za Kibabe za Kuujaza Uwanja ili Mapato yapatikane wakati wenye Kuujua vyema Mpira tumeshajua kuwa Safari yetu kwa Msimu huu ndiyo imefikia Tamati hapa na kwa wengi huu ni Ukweli Mchungu.

Kwa nilivyozitizama Klabu Kubwa Tatu ambazo nimehisi huenda Simba SC ikakutana nazo kama itabahatika Kupindua Meza kwa Kaizer Chiefs FC huenda huko mbele tukaja Kufungwa hata Goli 13 na mojawapo ya hizo Timu kwani zina uwezo mkubwa sana na Wachezaji wa Daraja la Juu ambao kwa Simba SC yetu ni Maji marefu kweli kweli Kushindana ( Kupambana ) nao.

Jana nimewatizama Wydad Casablanca, Esperance du Tunis na Mamelodi Sundowns (ambao Wote hawa ni African Soccer Giants kwa sasa ) ambao najua kama Simba SC itakutana na Mmoja wapo katika CAF CL Semi Finals kuna Hatari ya Kupokea Kipigo Kitakatifu (cha Kishalubela) zaidi ya tulichokipokea Jana pale Soccer City FNB Stadium Johannesburg Afrika Kusini kutoka kwa Kaizer Chiefs FC.

Ushauri wangu wa bure tu kwa Simba SC (ambao najua utawaudhi Wapuuzi, Wanafiki na Washamba kadhaa) ni kwamba Simba SC tusitumie Nguvu Kubwa Kupindua Matokeo bali tuitumie tu hiyo Mechi kama sehemu ya Kujifunza zaidi na kupata Uzoefu ili basi Msimu ujao tukiingia tuwe tumejidhatiti vya Kutosha kwa Kufika mbali Kimashindano.

Kwa Kikosi cha sasa cha Simba SC Kulazimisha kufika Nusu Fainali ya CAF CL na kukutana na hao Giants Watatu niliowataja hapo juu ( ambao uwezo wao ni maradufu ya Kaizer Chiefs FC waliotuadhibu Kikatili jana ) ni Kujitafutia tu Aibu nyingine na tuzidi Kuchekwa na Watani zetu wakubwa Yanga SC ( japo na Wao Timu yao hivi sasa ni kama tu Mgonjwa anayekaribia Kukata Roho ) katika Kuwania Ubingwa wa VPL ambao kuna uwezekano mkubwa wasiupate kwa miaka kadhaa mpaka wakijirekebisha Kiufundi na Timu yao pamoja na Uongozi wao mzima.

Nimefurahi kumsikia Mwekezaji Mo Dewji akisema kuwa amehairisha Kununua Magari yake Mawili aina ya Ferrari na Rolls Royce ili astarehe nayo na ajikite Kuisaidia zaidi Klabu yake pendwa ya Simba SC.

Nami GENTAMYCINE namshauri Mwekezaji Mo Dewji kwamba kama kweli kapania kuachana na Starehe ya Kuyanunua hayo Magari ili aisaidie Simba SC namuomba hizo Pesa azitumie Kusajilia Wachezaji wakubwa, mahiri na wa Kiwango cha Kimataifa na Kimashindano hasa ili tukicheza tena Champions League Msimu ujao lengo letu lisiwe tena kufika Robo au Nusu bali liwe ni Kufika Fainali na kubeba Kombe kabisa la Afrika kwa mara ya Kwanza.

Binafsi kwa Kikosi cha Simba SC cha sasa ( ambacho si cha Kucheza Nusu Fainali ya CAF CL ) kutokana na kuwa na Mapungufu makubwa hasa ya Kiufundi hata tukiishia hapa Robo Fainali kwa kutolewa jumla na Kaizer Chiefs FC Wikiendi ijayo bado nitajiona nimejitahidi na Kukazia katika Lengo na kamwe sitochukia au kujisikia vibaya kwani nitakuwa nimetolewa katika hatua nzuri ya Kimashindano na Timu Bora pia kwa bara la Afrika.

Timu ikirejea Kesho Watafutwe haraka Wataalam wa Saikolojia ili wawajenge upya Wachezaji wetu na warudi katika hali zao kwani kwa Jicho langu Kali la Kisaikolojia leo katika recovery session yao pale Kambini Afrika Kusini nimeona almost 95% ya Wachezaji wa Simba SC wamekuwa affected psychologically hivyo kama hawatopata thorough counseling huenda Timu ikapoteza kwa margin kubwa zaidi ya Goli zile Nne ( 4 ) za Jana.

Mpira wa sasa ni wa Kisayansi zaidi hivyo nasi tubadilike na tuacheni na huu Upuuzi Upuuzi wetu wa mambo ya Kiswahili ya nje ya Uwanja ( sijui Kuroga sana na Kupulizia mno Dawa 4-4-2 Vyumbani ) hayatatusaidia lolote na sana sana tutazidi Kuharibikiwa tu na kuonena ni Wapumbavu wa Kiwango kisichovumilika tena katika hii dunia ya Kisasa yenye kuhitaji Fikra, Ubunifu na Mipango thabiti yenye Mikakati endelevu.
Wewe Ni mbumbumbu Sana.Wala hujitambui.

Kwahiyo Simba wasijipange ili kupata matokeo wasonge mbele kwa sababu kuna Mamelod,Wydad.Nina mashaka na ubongo wako.Hauko sawa.

Simba ikiweza kupindua meza unajua Ni kiasi gani cha fedha kitapatikana kutokana tu na kufikia semi final.Umeshawaza hili?

Tangu Simba inaanza haya mashindano unafikiri walikuwa hawajui kwamba kuna timu km Al Ahly,Wydad au Mamelodi? Na Ni timu zenye ubora?

Unawezaje kufikia quarter final halafu usitamani kucheza semi final eti uwaachie wengine kwamba wewe huna uwezo?

Simba haikufika hapo kwa kubahatisha Ni mpira wa viwango ulichezwa na kupata matokeo bora.Hayo ya uchawi Ni mentality yako.

Tumeona Mamelodi kafungwa na Al Ahly kwa hiyo mamelodi Ni underdog? Kwahiyo nao basi wamwachie Al Ahly na wasijipange na mechi inauofuata ili waweze kusonga mbele?

Kuna mambo umeandika ya maana lkn mengi uliyoandika yanawakilisha Mentality ile ile ya Kitanzania ya MAWAZO ya KIMASKINI ,unyonge ,watu wasioweza jambo lolote,watu wasiojiamini,watu wasio na malengo makubwa.Watu wa kuamini wale wanaweza sisi hatuwezi.

SIMBA ina uwezo wa kuutumia vyema uwanja wao wa nyumbani,kurekebisha kasoro za awali na kupata matokeo bora na kuingia hatua inayofuata.Inawezekana ,huu ni mpira inawezekana!!

Simba imeenda kushindana si kushiriki.Hawajafikia hapo bahati mbaya.

Povu ruksaaaaa,tukana,beza RUKSAAAA.

Una mawazo ya kimaskini!!!
 
Nimeshariki Kuifanyia Umafia Simba SC yangu ili ishinde katika Mechi ile ya Ismailia FC, Yanga SC ( zile Goli 5 tulizowafunga ) na ile ya Nkana FC tena nikiwa na Waandamizi wako akina Nkamia na Kassim Dewji ( KD ) ambazo zote tulipata Matokeo japo kwa Ismailia FC Mvua Kubwa ilituharibia.

Naijua Simba SC yako ( yenu ) kuliko Wewe na Oya Oya ( Washamba na Wapuuzi ) Wenzako na nikiwa naikosoa siyo kwamba naichukia bali naioenda ila Wewe Mnafiki unataka tu usikie nikiisema kwa mazuri ili nikuridhishe ( niwaridhisheni ) mfurahi. Bahati mbaya sana GENTAMYCINE sipo hivyo na ni bora mnichukie ila Ukweli Mchungu niwape na uwaingieni vilivyo.
Huna lolote mkuu wewe Ni wale wale tu watu wa malengo mepesi.Unaweza kuita wengine wapuuzi,shabiki maandazi kumbe wewe ndiyo shabiki kitumbua.
 
Najua kuanzia sasa nguvu Kubwa ya Kupindua Meza (kwa Fitna za nje ya Uwanja) zitaanza Kutumika ili Kuwafunga Kaizer Chiefs FC Wikiendi ijayo huku tukidanganywa sana kuhusu uwezo wa Timu yetu na Kuaminishwa mno na Kauli Mbiu za Kibabe za Kuujaza Uwanja ili Mapato yapatikane wakati wenye Kuujua vyema Mpira tumeshajua kuwa Safari yetu kwa Msimu huu ndiyo imefikia Tamati hapa na kwa wengi huu ni Ukweli Mchungu.

Kwa nilivyozitizama Klabu Kubwa Tatu ambazo nimehisi huenda Simba SC ikakutana nazo kama itabahatika Kupindua Meza kwa Kaizer Chiefs FC huenda huko mbele tukaja Kufungwa hata Goli 13 na mojawapo ya hizo Timu kwani zina uwezo mkubwa sana na Wachezaji wa Daraja la Juu ambao kwa Simba SC yetu ni Maji marefu kweli kweli Kushindana ( Kupambana ) nao.

Jana nimewatizama Wydad Casablanca, Esperance du Tunis na Mamelodi Sundowns (ambao Wote hawa ni African Soccer Giants kwa sasa ) ambao najua kama Simba SC itakutana na Mmoja wapo katika CAF CL Semi Finals kuna Hatari ya Kupokea Kipigo Kitakatifu (cha Kishalubela) zaidi ya tulichokipokea Jana pale Soccer City FNB Stadium Johannesburg Afrika Kusini kutoka kwa Kaizer Chiefs FC.

Ushauri wangu wa bure tu kwa Simba SC (ambao najua utawaudhi Wapuuzi, Wanafiki na Washamba kadhaa) ni kwamba Simba SC tusitumie Nguvu Kubwa Kupindua Matokeo bali tuitumie tu hiyo Mechi kama sehemu ya Kujifunza zaidi na kupata Uzoefu ili basi Msimu ujao tukiingia tuwe tumejidhatiti vya Kutosha kwa Kufika mbali Kimashindano.

Kwa Kikosi cha sasa cha Simba SC Kulazimisha kufika Nusu Fainali ya CAF CL na kukutana na hao Giants Watatu niliowataja hapo juu ( ambao uwezo wao ni maradufu ya Kaizer Chiefs FC waliotuadhibu Kikatili jana ) ni Kujitafutia tu Aibu nyingine na tuzidi Kuchekwa na Watani zetu wakubwa Yanga SC ( japo na Wao Timu yao hivi sasa ni kama tu Mgonjwa anayekaribia Kukata Roho ) katika Kuwania Ubingwa wa VPL ambao kuna uwezekano mkubwa wasiupate kwa miaka kadhaa mpaka wakijirekebisha Kiufundi na Timu yao pamoja na Uongozi wao mzima.

Nimefurahi kumsikia Mwekezaji Mo Dewji akisema kuwa amehairisha Kununua Magari yake Mawili aina ya Ferrari na Rolls Royce ili astarehe nayo na ajikite Kuisaidia zaidi Klabu yake pendwa ya Simba SC.

Nami GENTAMYCINE namshauri Mwekezaji Mo Dewji kwamba kama kweli kapania kuachana na Starehe ya Kuyanunua hayo Magari ili aisaidie Simba SC namuomba hizo Pesa azitumie Kusajilia Wachezaji wakubwa, mahiri na wa Kiwango cha Kimataifa na Kimashindano hasa ili tukicheza tena Champions League Msimu ujao lengo letu lisiwe tena kufika Robo au Nusu bali liwe ni Kufika Fainali na kubeba Kombe kabisa la Afrika kwa mara ya Kwanza.

Binafsi kwa Kikosi cha Simba SC cha sasa ( ambacho si cha Kucheza Nusu Fainali ya CAF CL ) kutokana na kuwa na Mapungufu makubwa hasa ya Kiufundi hata tukiishia hapa Robo Fainali kwa kutolewa jumla na Kaizer Chiefs FC Wikiendi ijayo bado nitajiona nimejitahidi na Kukazia katika Lengo na kamwe sitochukia au kujisikia vibaya kwani nitakuwa nimetolewa katika hatua nzuri ya Kimashindano na Timu Bora pia kwa bara la Afrika.

Timu ikirejea Kesho Watafutwe haraka Wataalam wa Saikolojia ili wawajenge upya Wachezaji wetu na warudi katika hali zao kwani kwa Jicho langu Kali la Kisaikolojia leo katika recovery session yao pale Kambini Afrika Kusini nimeona almost 95% ya Wachezaji wa Simba SC wamekuwa affected psychologically hivyo kama hawatopata thorough counseling huenda Timu ikapoteza kwa margin kubwa zaidi ya Goli zile Nne ( 4 ) za Jana.

Mpira wa sasa ni wa Kisayansi zaidi hivyo nasi tubadilike na tuacheni na huu Upuuzi Upuuzi wetu wa mambo ya Kiswahili ya nje ya Uwanja ( sijui Kuroga sana na Kupulizia mno Dawa 4-4-2 Vyumbani ) hayatatusaidia lolote na sana sana tutazidi Kuharibikiwa tu na kuonena ni Wapumbavu wa Kiwango kisichovumilika tena katika hii dunia ya Kisasa yenye kuhitaji Fikra, Ubunifu na Mipango thabiti yenye Mikakati endelevu.
Mkuu Kama uliangalia vizuri mpira kuanzia dakika ya Kwanza Hadi ya 90 nahis Kuna kitu haijalishi Una taaluma yoyote ya soka au la ila haraka Simba tulizidiwa mbinu Hyo ila syo uwezo mpira tulicheza swala linalokuja kutofautisha ni score sheet au score board Simba Kuna kitu kinachoitwa marking on space Ndo tulimc aangalia goal la Kwanza Yule mchezaji anaruka Free header anaweke goal njoo goal la pili kapombe anamfata tayar kashapiga kichwa mpira upo wavuni twende goal la tatu Pascal Wawa Ana njano tayar akaenda kwa uoga kavishwa kikoi anapitiliza kilaini Sana zimbwe angefanya Nini Zaid ya kuutolea mpira pembeni akijua anaokoa kumbe anaseti njoo goali la mwisho mpira inapigwa cross kwenye box forward ipo peke yake inapiga Tena Free header hakuna beki ya Kati hata moja ya kumtinga mchezaji njoo kwa zimbwe muda mwingi alikuwa anawakaba wachezaji wawili yeye Mtu mmoja hakuna winga aliekuwa anakumsaidia The same case kapombe hivyo ila timu zote hakuna timu iliyofika robo halaf ukasema ni kibonde mpira ni technical Basi ila kama tunataka kufuzu kikosi inatakiwa kianze hapo chini ila kupangua baadhi ya wachezaji mfano rally bwalya nafasi achukue morisoni Said ndemla nafasi yake thadeo lwanga
Screenshot_20210517-133220.jpg
 
Mkuu tena tusiombe kabisa kukutana na hawa Mamelodi Sundowns kwani kwa Uchezaji wao, Ubora wao na Uwezo mkubwa wa Wachezaji wao tukikutana nao tunafungwa kati ya Magoli 9 na hata 10.

Ukirudi huko kwa akina Wydad Casablanca na Esperance du Tunis ambao kama Simba SC tutabahatika Kupindua Meza Wikiendi ijayo tutakutana nao ndiyo huenda tukapata Dhahama Kubwa zaidi kuliko tuliyoipata Juzi kwa Kaizer Chiefs FC.

Naomba GENTAMYCINE hapa nieleweke vizuri tu kuwa siidharau wala siichukii Simba SC yangu ila kwa Jicho langu la Kiufundi nimegundua Timu yetu ( Simba SC ) haina Kikosi Kilichokomaa Kucheza Hatua ya Nusu Fainali ( ambako ndiko Kugumu zaidi ) lakini ina Kikosi cha kutufikisha hapa Robo Fainali tulipofikia na tunapoenda kuishia.

Na tukitolewa hatua hii na Kaizer Chiefs FC sasa iwe Changamoto Kwetu ( hasa kwa Mwekezaji Mo Dewji ) ya Kusajili Wachezaji wakubwa, mahiri, washindani na wa kutufikisha si tu Nusu Fainali tulipokulenga bali wa Kutufikisha kabisa Fainali ya CAF CL na Simba SC tubebe Kombe ( Ubingwa ) kabisa.

Lazima tuambiane Ukweli na tuvumilie.
Yaani serious kabisa unahofia kukutana na Wydad. Kwahiyo tuishie tu hapo.
 
Mkuu Kama uliangalia vizuri mpira kuanzia dakika ya Kwanza Hadi ya 90 nahis Kuna kitu haijalishi Una taaluma yoyote ya soka au la ila haraka Simba tulizidiwa mbinu Hyo ila syo uwezo mpira tulicheza swala linalokuja kutofautisha ni score sheet au score board Simba Kuna kitu kinachoitwa marking on space Ndo tulimc aangalia goal la Kwanza Yule mchezaji anaruka Free header anaweke goal njoo goal la pili kapombe anamfata tayar kashapiga kichwa mpira upo wavuni twende goal la tatu Pascal Wawa Ana njano tayar akaenda kwa uoga kavishwa kikoi anapitiliza kilaini Sana zimbwe angefanya Nini Zaid ya kuutolea mpira pembeni akijua anaokoa kumbe anaseti njoo goali la mwisho mpira inapigwa cross kwenye box forward ipo peke yake inapiga Tena Free header hakuna beki ya Kati hata moja ya kumtinga mchezaji njoo kwa zimbwe muda mwingi alikuwa anawakaba wachezaji wawili yeye Mtu mmoja hakuna winga aliekuwa anakumsaidia The same case kapombe hivyo ila timu zote hakuna timu iliyofika robo halaf ukasema ni kibonde mpira ni technical Basi ila kama tunataka kufuzu kikosi inatakiwa kianze hapo chini ila kupangua baadhi ya wachezaji mfano rally bwalya nafasi achukue morisoni Said ndemla nafasi yake thadeo lwangaView attachment 1788323
Akili kubwa!! Simba haijafika hapo bahati mbaya.Umeongea sawa mkuu.
 
Mkuu tena tusiombe kabisa kukutana na hawa Mamelodi Sundowns kwani kwa Uchezaji wao, Ubora wao na Uwezo mkubwa wa Wachezaji wao tukikutana nao tunafungwa kati ya Magoli 9 na hata 10.

Ukirudi huko kwa akina Wydad Casablanca na Esperance du Tunis ambao kama Simba SC tutabahatika Kupindua Meza Wikiendi ijayo tutakutana nao ndiyo huenda tukapata Dhahama Kubwa zaidi kuliko tuliyoipata Juzi kwa Kaizer Chiefs FC.

Naomba GENTAMYCINE hapa nieleweke vizuri tu kuwa siidharau wala siichukii Simba SC yangu ila kwa Jicho langu la Kiufundi nimegundua Timu yetu ( Simba SC ) haina Kikosi Kilichokomaa Kucheza Hatua ya Nusu Fainali ( ambako ndiko Kugumu zaidi ) lakini ina Kikosi cha kutufikisha hapa Robo Fainali tulipofikia na tunapoenda kuishia.

Na tukitolewa hatua hii na Kaizer Chiefs FC sasa iwe Changamoto Kwetu ( hasa kwa Mwekezaji Mo Dewji ) ya Kusajili Wachezaji wakubwa, mahiri, washindani na wa kutufikisha si tu Nusu Fainali tulipokulenga bali wa Kutufikisha kabisa Fainali ya CAF CL na Simba SC tubebe Kombe ( Ubingwa ) kabisa.

Lazima tuambiane Ukweli na tuvumilie.
Kuna mtu kakuita mwezi mchanga,sidhani km kakosea.
 
Ukifuatilia anachokiongea utagundua labda alikosa nafasi ya kuchaguliwa kuwa kiongozi wa Timu ndio maana amekuwa adui. Na adui wa ndani ni hatari kuliko hawa wa nje ya timu yako.

Anaongelea kuhusu ushiriki wake kwenye kamati ya roho mbaya ya kusaidia timu kupata ushindi - anataja na vitu vinavyofanyika, huu ni utoto au hasira flani iliyo ndani ya moyo wake baada ya kutofautiana na wenzake. Huyu apewe ungo tu apae angani hana tofauti na kirusi kipya cha Covid
Huyu anaweza kuwa Wambura bado ana hasira za kufungiwa kugombea uongozi wa soka
 
Kuna timu umezitaja hapo kuwa huenda Simba ikakutana nayo semi final, lakini umeshindwa kufikiria hizo timu zina nafasi ndogo sana kufuzu semi final. Mamelodi ana mlimba wa kufuzu mbele ya Al Ahly. Na hata hao Esperance du Tunis wana kazi ya ziada kupindua meza maana walipigwa mbili kavu
Hujui Mpira acha Kunipotezea tu muda.
 
Wewe Ni mbumbumbu Sana.Wala hujitambui.

Kwahiyo Simba wasijipange ili kupata matokeo wasonge mbele kwa sababu kuna Mamelod,Wydad.Nina mashaka na ubongo wako.Hauko sawa.

Simba ikiweza kupindua meza unajua Ni kiasi gani cha fedha kitapatikana kutokana tu na kufikia semi final.Umeshawaza hili?

Tangu Simba inaanza haya mashindano unafikiri walikuwa hawajui kwamba kuna timu km Al Ahly,Wydad au Mamelodi? Na Ni timu zenye ubora?

Unawezaje kufikia quarter final halafu usitamani kucheza semi final eti uwaachie wengine kwamba wewe huna uwezo?

Simba haikufika hapo kwa kubahatisha Ni mpira wa viwango ulichezwa na kupata matokeo bora.Hayo ya uchawi Ni mentality yako.

Tumeona Mamelodi kafungwa na Al Ahly kwa hiyo mamelodi Ni underdog? Kwahiyo nao basi wamwachie Al Ahly na wasijipange na mechi inauofuata ili waweze kusonga mbele?

Kuna mambo umeandika ya maana lkn mengi uliyoandika yanawakilisha Mentality ile ile ya Kitanzania ya MAWAZO ya KIMASKINI ,unyonge ,watu wasioweza jambo lolote,watu wasiojiamini,watu wasio na malengo makubwa.Watu wa kuamini wale wanaweza sisi hatuwezi.

SIMBA ina uwezo wa kuutumia vyema uwanja wao wa nyumbani,kurekebisha kasoro za awali na kupata matokeo bora na kuingia hatua inayofuata.Inawezekana ,huu ni mpira inawezekana!!

Simba imeenda kushindana si kushiriki.Hawajafikia hapo bahati mbaya.

Povu ruksaaaaa,tukana,beza RUKSAAAA.

Una mawazo ya kimaskini!!!
You are an authentic Nut on the Forum.
 
Pumbavu hivi nimetaja Mamelodi Sundowns tu pekee? Sijazitaja na Wydad Casablanca pamoja na Esperance du Tunis?

Na nimezitaja hizi Timu Tatu baada ya Kuangalia Mechi za Semi Finals CL zilivyopangwa na CAF na iwe isiwe Simba SC ikiingia itakutana na mojawapo ya hizo Timu.

Huna ukijuacho hivyo kuwa Msomaji tu.
Niliangalia mechi ya mamelody na Al ahly..aisee sisi bado sana
 
Wewe Ni mbumbumbu Sana.Wala hujitambui.

Kwahiyo Simba wasijipange ili kupata matokeo wasonge mbele kwa sababu kuna Mamelod,Wydad.Nina mashaka na ubongo wako.Hauko sawa.

Simba ikiweza kupindua meza unajua Ni kiasi gani cha fedha kitapatikana kutokana tu na kufikia semi final.Umeshawaza hili?

Tangu Simba inaanza haya mashindano unafikiri walikuwa hawajui kwamba kuna timu km Al Ahly,Wydad au Mamelodi? Na Ni timu zenye ubora?

Unawezaje kufikia quarter final halafu usitamani kucheza semi final eti uwaachie wengine kwamba wewe huna uwezo?

Simba haikufika hapo kwa kubahatisha Ni mpira wa viwango ulichezwa na kupata matokeo bora.Hayo ya uchawi Ni mentality yako.

Tumeona Mamelodi kafungwa na Al Ahly kwa hiyo mamelodi Ni underdog? Kwahiyo nao basi wamwachie Al Ahly na wasijipange na mechi inauofuata ili waweze kusonga mbele?

Kuna mambo umeandika ya maana lkn mengi uliyoandika yanawakilisha Mentality ile ile ya Kitanzania ya MAWAZO ya KIMASKINI ,unyonge ,watu wasioweza jambo lolote,watu wasiojiamini,watu wasio na malengo makubwa.Watu wa kuamini wale wanaweza sisi hatuwezi.

SIMBA ina uwezo wa kuutumia vyema uwanja wao wa nyumbani,kurekebisha kasoro za awali na kupata matokeo bora na kuingia hatua inayofuata.Inawezekana ,huu ni mpira inawezekana!!

Simba imeenda kushindana si kushiriki.Hawajafikia hapo bahati mbaya.

Povu ruksaaaaa,tukana,beza RUKSAAAA.

Una mawazo ya kimaskini!!!
Subiri matusi toka huo mtambo wa matusi
 
Back
Top Bottom