mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,205
- Thread starter
- #41
Naomba ile sheria ya kwenda jela miaka 30 pia ifutwe ili mama mtoto akiwa shule, baba mtoto abaki na mtoto
Unadhani mwanaume mwenye akili ya kumtia mtoto wa miaka13 mimba ana akili ya kulea kweli!?
Mimi nadhani wengi wao ni matatizo tuu