Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Nawasalimu kwa Jina la CCM
Kumekuwa na Taarifa Kuwa Uchaguzi wa Mwaka 2025 ni ZAMU ya MWANAMKE kuwa Mgombea URAIS ndani ya CCM
Nimekuwa na Maswali kadhaa
1.Je Ni WANAWAKE tu Watakaoruhusiwa KUCHUKUA FOMU za KUOMBA KUTEULIWA?
2.Je WANAUME Wataruhusiwa au Wao WASIJARIBU KABISA kuchukua FOMU za KUOMBA KUTEULIWA?
3.Je Mwaka 2030 Itakuwa ZAMU ya Kundi gani maana WANAUME tayari na Wanawake ndio hao 2025?
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Kumekuwa na Taarifa Kuwa Uchaguzi wa Mwaka 2025 ni ZAMU ya MWANAMKE kuwa Mgombea URAIS ndani ya CCM
Nimekuwa na Maswali kadhaa
1.Je Ni WANAWAKE tu Watakaoruhusiwa KUCHUKUA FOMU za KUOMBA KUTEULIWA?
2.Je WANAUME Wataruhusiwa au Wao WASIJARIBU KABISA kuchukua FOMU za KUOMBA KUTEULIWA?
3.Je Mwaka 2030 Itakuwa ZAMU ya Kundi gani maana WANAUME tayari na Wanawake ndio hao 2025?
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app