MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
"Tafadhali kama kwa bahati mbaya umempoteza au umepotezana na Ndugu yako kwa muda mrefu jaribu kumuangalia katika Jezi mpya ya Yanga SC unaweza ukampata"
Chanzo: Mchambuzi EFM na TvE Oscar Oscar
Wakati Oscar Oscar ( ambaye Personally ) namjua ni Simba SC lia lia alipochukua Fomu ya Kugombea Urais TFF ili Kupambana na Rais wa TFF Wallace Karia wana Yanga SC wote ( wengi ) mlimpenda na Kumsifu mno hivyo nawaomba hata kwa haya Madongo yake Kwenu muwe wapole na muendelee Kumpenda na Kumsifia sawa?
Akhsante sana Comrade Oscar Oscar!!!!
Chanzo: Mchambuzi EFM na TvE Oscar Oscar
Wakati Oscar Oscar ( ambaye Personally ) namjua ni Simba SC lia lia alipochukua Fomu ya Kugombea Urais TFF ili Kupambana na Rais wa TFF Wallace Karia wana Yanga SC wote ( wengi ) mlimpenda na Kumsifu mno hivyo nawaomba hata kwa haya Madongo yake Kwenu muwe wapole na muendelee Kumpenda na Kumsifia sawa?
Akhsante sana Comrade Oscar Oscar!!!!