Tunapokwenda tunaweza kuja kuwa na sheria zitakazotungwa kwa lengo la kuwazuia baadhi ya watu tishio kugombea nafasi nyeti hapa nchini

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,371
Huu ni mtazamo wangu, na mfano wa sheria kama hiyo inaweza kuwa ni kuwazuia wale wote waliokaa nje ya nchi mfululizo kwa kipindu fulani kabla ya tarehe ya uchaguzi, kugombea nafasi kama ya urais au ubunge.

Sheria za aina hiyo zinaweza kutungwa hata kuwabana watu kugombea nafasi za uongozi ndani ya vyama vyao.

Hivyo, iwapo Lissu una mpango wa kugombea ile nafasi nyeti mwaka 2020 au 2025, basi tafakari sana juu ya jambo hili na ufanye maamuzi sahihi angali mapema.

Yangu ni hayo tu wakubwa.
 
Huu ni mtazamo wangu, na mfano wa sheria kama hiyo inaweza kuwa ni kuwazuia wale wote waliokaa nje ya nchi mfululizo kwa kipindu fulani kabla ya tarehe ya uchaguzi, kugombea nafasi kama ya urais au ubunge.

Sheria za aina hiyo zinaweza kutungwa hata kuwabana watu kugombea nafasi za uongozi ndani ya vyama vyao.

Hivyo, iwapo Lissu una mpango wa kugombea ile nafasi nyeti mwaka 2020 au 2025, basi tafakari sana juu ya jambo hili na ufanye maamuzi sahihi angali mapema.

Yangu ni hayo tu wakubwa.
Hili juzi nilikoment kwenye uzi wa mtu tena nikasema huko mbeleni 2023 na kuendelea huenda hata huko huko chamani wale wote watakao hisiwa kuwa watakuwa tishio 2025 wakapotezwa ili jamaa aendelee kushikilia kiti
 
kwani ni siri sie tunataka mgombea wetu apite bila kupingwa,,huo ndo ukweli

Huu ni mtazamo wangu, na mfano wa sheria kama hiyo inaweza kuwa ni kuwazuia wale wote waliokaa nje ya nchi mfululizo kwa kipindu fulani kabla ya tarehe ya uchaguzi, kugombea nafasi kama ya urais au ubunge.

Sheria za aina hiyo zinaweza kutungwa hata kuwabana watu kugombea nafasi za uongozi ndani ya vyama vyao.

Hivyo, iwapo Lissu una mpango wa kugombea ile nafasi nyeti mwaka 2020 au 2025, basi tafakari sana juu ya jambo hili na ufanye maamuzi sahihi angali mapema.

Yangu ni hayo tu wakubwa.
 
Mbona h
Huu ni mtazamo wangu, na mfano wa sheria kama hiyo inaweza kuwa ni kuwazuia wale wote waliokaa nje ya nchi mfululizo kwa kipindu fulani kabla ya tarehe ya uchaguzi, kugombea nafasi kama ya urais au ubunge.

Sheria za aina hiyo zinaweza kutungwa hata kuwabana watu kugombea nafasi za uongozi ndani ya vyama vyao.

Hivyo, iwapo Lissu una mpango wa kugombea ile nafasi nyeti mwaka 2020 au 2025, basi tafakari sana juu ya jambo hili na ufanye maamuzi sahihi angali mapema.

Yangu ni hayo tu wakubwa.
Mbona hili liko wazi kabisa? Jinsi CCM wanavyoogopa ushindani usishangae sheria kama hii ikatungwa mapema mwakani!
 
Hili zee nchi linapoipeleka sijui tu, Mungu ndio anajua.
Leo nilibahatika kuongea na padri mmoja WA kanisa la Romani katoliki nikamuuliza huyu jamaa ni chaguo la mungu kweli? Alichonijibu ni kuwa kwa kusoma kwake dini alichogundua binadamu tulikuwa malaika huko mbinguni mungu baadae aligundua sisi ni malaika wenye kimbelembele na tulianza kushindana nae kutengeneza VITU visivyo na tija mbinguni ndio maana akatengeneza dunia ili tugaragazane wenyewe kwa wenyewe kwa ukimbelembele wetu huku duniani na yeye akabaki na malaika wasikivu ndio maana hata tufanye uchaguzi tunachagua mwenye kimbelembele tu huyo unaeuliza inawezekana likimbelembele la kwanza ni muendelezo Wa adhabu ya kuletwa hapa duniani
 
Huu ni mtazamo wangu, na mfano wa sheria kama hiyo inaweza kuwa ni kuwazuia wale wote waliokaa nje ya nchi mfululizo kwa kipindu fulani kabla ya tarehe ya uchaguzi, kugombea nafasi kama ya urais au ubunge.

Sheria za aina hiyo zinaweza kutungwa hata kuwabana watu kugombea nafasi za uongozi ndani ya vyama vyao.

Hivyo, iwapo Lissu una mpango wa kugombea ile nafasi nyeti mwaka 2020 au 2025, basi tafakari sana juu ya jambo hili na ufanye maamuzi sahihi angali mapema.

Yangu ni hayo tu wakubwa.
Huo ndiyo mpango mzima, hadi uangalie kwa jicho la mbali utaona.
 
Back
Top Bottom