Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Utawala wa sheria unataka viongozi na raia wa kawaida kuheshimu sheria na kuhakikisha wanafanya shughuli zao na kuishi kama sheria zinavyosema.
Ibara ya 13(3) iko wazi kabisa kwamba haki za kiraia au masuala yote yanayohusu haki na au uvunjifu wa haki yataamuriwa na mahakama.
Kama katiba ambayo ndio sheria kuu ya nchi imeamuru hivi, kwa nini mkuu wa wilaya ya Arusha alijichukulia sheria mkononi? Kwa nini mamlaka ya uteuzi iko kimya? Je huyu Dc yuko sawa?
Je, ndio kusema mtuhumiwa awe anapata mob justice hapa Tanzania? Jambo ambalo ni kinyume cha haki za binadamu!
Ibara ya 13(3) iko wazi kabisa kwamba haki za kiraia au masuala yote yanayohusu haki na au uvunjifu wa haki yataamuriwa na mahakama.
Kama katiba ambayo ndio sheria kuu ya nchi imeamuru hivi, kwa nini mkuu wa wilaya ya Arusha alijichukulia sheria mkononi? Kwa nini mamlaka ya uteuzi iko kimya? Je huyu Dc yuko sawa?
Je, ndio kusema mtuhumiwa awe anapata mob justice hapa Tanzania? Jambo ambalo ni kinyume cha haki za binadamu!