othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 5,653
- 9,032
Kufuatia vikwazo mbalimbali anavyowekewa mgombea urais wa chama cha CHADEMA ndugu Tundu lisu na serikali ya ccm ili ashindwe kufanya kampeni zake vizuri, upo uwezekano wa vituo vya mafuta kupewa maelekezo kuacha kuweka mafuta kwenye misafara ya TL.
TL amekuwa akitumia usafiri wa ardhini kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine kwa shughuli ya kutafuta wadhamini, na kila anapofika mikoani hupokelewa na mamia kwa maelfu ya watu jambo linalo wakera ccm.
Kwahiyo njia ambayo wataona itaweza kumzuia au kumuongezea vikwazo ni kutoa maelekezo kwa vituo vya mafuta kuacha kutoa huduma hiyo kwa misafara ya mgombea huyo. Msishangae kuona hilo likitekerezwa labda waache baada ya kuona Uzi huu.
Ombi langu uongozi wa chadema uwe macho na makini juu ya mbinu hizi chafu za hawa nzi wa kijani kwani hawana hoja za msingi zaidi ya fujo.
TL amekuwa akitumia usafiri wa ardhini kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine kwa shughuli ya kutafuta wadhamini, na kila anapofika mikoani hupokelewa na mamia kwa maelfu ya watu jambo linalo wakera ccm.
Kwahiyo njia ambayo wataona itaweza kumzuia au kumuongezea vikwazo ni kutoa maelekezo kwa vituo vya mafuta kuacha kutoa huduma hiyo kwa misafara ya mgombea huyo. Msishangae kuona hilo likitekerezwa labda waache baada ya kuona Uzi huu.
Ombi langu uongozi wa chadema uwe macho na makini juu ya mbinu hizi chafu za hawa nzi wa kijani kwani hawana hoja za msingi zaidi ya fujo.