Roadmap
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 2,898
- 5,796
Endelea n ujinga wako ila Magufuli ndio Rais na Amiri jeshi mkuu, Hayupo apo kwa bahati mbaya sio kuwa ana baraka za system tu hata Mungu amembariki ndio maana kaupata Urais miongoni wa watanzania million 55Mleta mada ana hoja nzuri Sana Magufuli aliiba nyumba zetu na akampa mpaka hawara yake Sundi Molomo tukategemea angebadilika tukampa Urais ndio kaiba zaidi mpaka 1.5 trilioni. Theory yako ni mfu tabia mbaya ni mbaya tu