heee NI BORA gazeti langu pendwa la mwananchi,,,weka na yale ya udaku orijino weweeeee heee maneno yaliyomo ni balaahii maana yake nini kukuza mambo kiasi cha kufanya mambo ya hovyo kuwa ya maana na ya maana ya hovyo? Je taifa linapokuwa na taasisi za hovyo namna hii linaweza kusonga mbele?