Tunapenda sana udaku au magazeti ya Tanzania karibu yote ni ya kidaku?

mpayukaji

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
940
349
Hii maana yake nini kukuza mambo kiasi cha kufanya mambo ya hovyo kuwa ya maana na ya maana ya hovyo? Je taifa linapokuwa na taasisi za hovyo namna hii linaweza kusonga mbele?

 
hii maana yake nini kukuza mambo kiasi cha kufanya mambo ya hovyo kuwa ya maana na ya maana ya hovyo? Je taifa linapokuwa na taasisi za hovyo namna hii linaweza kusonga mbele?

heee NI BORA gazeti langu pendwa la mwananchi,,,weka na yale ya udaku orijino weweeeee heee maneno yaliyomo ni balaa
 
wee acha tu kwani waandishi wote utafikiri mahakimu,watanzania tubadilike jamani tusihukumu mtoto wa watu tuache sheria ifuate mkondo wake tu
 
Back
Top Bottom