Elections 2010 Tunaotaka mabadiliko Tanzania tufanye hivyo 2012

nickname

JF-Expert Member
Dec 20, 2009
544
147
Wapendwa wote watanzania tunaotaka mabadiliko ya nchi yetu tusiwe na wasiwasi.Tusahau ya kuibiwa kura na tujikite kujenga vyama vyetu vya upinzani kwani mwaka 2012 tutakuwa na uchaguzi mkuu mwingine wa Urais wa Tanzania.

Rahisi wetu anasumbuliwa na ugonjwa wake wa kuanguka anguka na 2012 atanguka moja kwa moja kwa hiyo tutafanya uchaguzi
 
Wapendwa wote watanzania tunaotaka mabadiliko ya nchi yetu tusiwe na wasiwasi.Tusahau ya kuibiwa kura na tujikite kujenga vyama vyetu vya upinzani kwani mwaka 2012 tutakuwa na uchaguzi mkuu mwingine wa Urais wa Tanzania.

Rahisi wetu anasumbuliwa na ugonjwa wake wa kuanguka anguka na 2012 atanguka moja kwa moja kwa hiyo tutafanya uchaguzi
Umejifunzia wapi UCHURO! Acha
 
Taarifa hii umepata wapi? Sheihk YAHAYA kakutuma? Binafsi naona maisha ya mtu au better say UHAI WA MTU ni muhimu kuliko haya mengine....tusimuombee mabaya kiasi cha kifo!!! tumuombee ashindwe kupitisha hoja zenye maslahi fulani au kwa kundi fulani, mimi hayo ndo maombi yangu, haya yako naona yana kaukakasi
 
Wapendwa wote watanzania tunaotaka mabadiliko ya nchi yetu tusiwe na wasiwasi.Tusahau ya kuibiwa kura na tujikite kujenga vyama vyetu vya upinzani kwani mwaka 2012 tutakuwa na uchaguzi mkuu mwingine wa Urais wa Tanzania.

Rahisi wetu anasumbuliwa na ugonjwa wake wa kuanguka anguka na 2012 atanguka moja kwa moja kwa hiyo tutafanya uchaguzi
Si kweli. Ibara ya 37(5) inasema:
(5) Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu kazi zake kutokana na maradhi ya mwili au kushindwa kutekeleza kazi na shughuli za Rais, basi Makamu wa Rais ataapishwa na atakuwa Rais kwa muda uliobaki katika kipindi cha miaka mitano na kwa masharti yaliyoelezwa katika ibara ya 40, kisha baada ya kushauriana na chama cha siasa anachotoka Rais atapendekeza jina la mtu atakae kuwa Makamu wa Rais na uteuzi huo utathibitishwa na Bunge kwa kura zisizopungua asilimia hamsini ya Wabunge wote.
 
Si kweli. Ibara ya 37(5) inasema:
(5) Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu kazi zake kutokana na maradhi ya mwili au kushindwa kutekeleza kazi na shughuli za Rais, basi Makamu wa Rais ataapishwa na atakuwa Rais kwa muda uliobaki katika kipindi cha miaka mitano na kwa masharti yaliyoelezwa katika ibara ya 40, kisha baada ya kushauriana na chama cha siasa anachotoka Rais atapendekeza jina la mtu atakae kuwa Makamu wa Rais na uteuzi huo utathibitishwa na Bunge kwa kura zisizopungua asilimia hamsini ya Wabunge wote.

Duh kama katiba inasema hivyo basi kifungu hiki kinaweza mpa tamaa Makamu wa Rais akam-assasin Rais ili awe yeye.Haijawahi kutokea lakini am worrying
 
Back
Top Bottom