remedy50
JF-Expert Member
- Apr 14, 2014
- 676
- 285
Unatoa huduma gani mkuu,kana ni AVN hapo utatukamata wengi sana maana tumekwama...!
Hata AUnatoa huduma gani mkuu,kana ni AVN hapo utatukamata wengi sana maana tumekwama...!
Hata huduma hiyo pia tunatoa maana tunadili na aina zote za online applicationUnatoa huduma gani mkuu,kana ni AVN hapo utatukamata wengi sana maana tumekwama...!
Broo ukisoma koz ya recording and archives mangement unwez degree kusom hio koziHiki chuo chetu tunagonga 3.5+ kila mwanachuo
Ilo ni kweli ila tangu wanasema wametuma ni mda mrefu tu wanasema baada Ya wao kukamilisha kila k2 huko nacte baada Ya wiki mbili ndo tunaweza kuomba Lakin mpaka Sasa umetimia mwaka mzima hatujapataSolution ni ndogo tu..
Ingia nacte uangalie status yako kama kweli wametuma matokeo yako.. Ukiona "Submitted" basi we kamalizane na NACTE ili waconfirm matokeo yako..Ila hii issue Mara nyingi vyuo ndo vinadelay kutuma matokeo nacte
Hii process inaweza kutumia hata dk.. Maana chuo kinatuma kinatuma results kielectronic then nacre wanathibitisha.. Sema uwingi was vyuo ndo unasababisha kuchelewesha confirmation process... But kamachuo kikiwa punctual inakuwa mapema tuIlo ni kweli ila tangu wanasema wametuma ni mda mrefu tu wanasema baada Ya wao kukamilisha kila k2 huko nacte baada Ya wiki mbili ndo tunaweza kuomba Lakin mpaka Sasa umetimia mwaka mzima hatujapata
Sent from my RNE-L21 using JamiiForums mobile app
Ni baada ya kumaliza na matokeo kutumwa NacteKwani hiyo AVN inatolewa baada ya kumaliza Diploma au hata kabla ya matokeo ya mwisho kutoka?
Acha kuwapoteza wenzako, mbona we umesoma na kumalizaNishapoteza miaka yangu mitatu namalzia semester ya mwisho now (bachelor) na nyie mkapoteze muda.
Nashauri kama unajiamini, elim ya diploma inatosha sana, pesa iko mtaan, degree inakutengeneza kua mtumwa wa taasisi
chuo gani mkuu?😀Hiki chuo chetu tunagonga 3.5+ kila mwanachuo
Nimemaliza, manake nimeona kilichopo huku, spend kuona mnapoteza muda, nimetoa ushaur kama mzoefu, dunia ya sasa haihitaj elim ya juuAcha kuwapoteza wenzako, mbona we umesoma na kumaliza
Kwahiyo mzee nikachukue diploma ipi itakayonifaa maana advance nimesoma HGK.Nishapoteza miaka yangu mitatu namalzia semester ya mwisho now (bachelor) na nyie mkapoteze muda.
Nashauri kama unajiamini, elim ya diploma inatosha sana, pesa iko mtaan, degree inakutengeneza kua mtumwa wa taasisi