Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,463
- 113,532
Mkuu Heci , mimi kila nikikumbuka jinsi wajumbe walichonifanya ile 2020, sina hamu kabisa.Pascal Mayalla njoo huku tuna jambo letu
P
Mkuu Heci , mimi kila nikikumbuka jinsi wajumbe walichonifanya ile 2020, sina hamu kabisa.Pascal Mayalla njoo huku tuna jambo letu
Naona unajitekenya na kucheka mwenyeweMkuu imeshagundulika kuwa swala la CCM kununua watu ilikuwa ni propaganda tu za mwenyekiti wetu na genge lake. kama unavyoona kwenye picha jinsi wanavyojikusanyaga kutengeneza propaganda za uongo kupinga serikali, kudanganya nk, ili kuwahadaa wanachama wetu.
View attachment 1967072
Hilo Ngapulila hata halijielewi ni linafiki Fulani Kama demu wa buza unajua mnafiki hafichiki hata akifichwa ndani ya vazi la chupi ataumbuka tu!Naona unajitekenya na kucheka mwenyewe
Don't give up mkuu... huenda Mungu alikuwa amekuandaa kwa ajili ya 2025 na sio 2020 kama ulivyo/unavyofikiria.Mkuu Heci , mimi kila nikikumbuka jinsi wajumbe walichonifanya ile 2020, sina hamu kabisa.
P
Shangazi na ww una mpini? kweli dunia imekwisha. Hata hivyo mpini wako hauwezi kuzuia mimi kuja kwenu kuziba mtalo, kikubwa ni maelewano tu na usijali nitauziba bure.Wewe choko mbona umenikomalia au unataka kalia mpini Arif hapo sijakukot wewe ila umekuja mbio ndefu unatamani kalia
🖕
Uwezo wa kufikiriLipumbavu la LUMUMBA hilo usijipe taabu kulipa elimu ni Moja ya Ile misukule Wala hajawahi kuwa CHADEMA huyo bwege mpotezee!
akili za mataga tu hufikiri kipumbavu Kama huyo jamaa!Uwezo wa kufikiri
Watu wametumia pesa mda jasho na damu gharama kubwa sana mpaka leo bado watu wanataabika ili chadema iendelee kuwepo mchango wa milion mwezi kama mbunge unaona ni ufisadi?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kama tungekuwa na watu wenye uchungu wa kweli na mabadiliko nchi hii na siyo kuwa wabunge ili kupata mishahara mikubwa basi watu wangejitolea hata mishahara yao yote ili kukipa chama nguvu nchi nzima nadhani tungefika mbali zaidiKukatwa kupo mkuu lkn sio kwa utaratibu huu ambao unawaumiza wagombea.
We jamaa ni fala wa kutupwa, kwahiyo wataka Chadema kikupe ridhaa na UMAARUFU wake wote halafu usitoe shukrani? Hakuna cha bure duniani, kama huwezi kuchangia chama ina maana huwezi kuwa Mbunge unaewakilisha jimbo kupitia hili CHAMA, Michango huanzia ngazi ya chini kabisa kwenye matawi, sasa kama hata kwenye matawi huna mchango ni nani atalipitisha jina lako, Hata Mungu huwabariki wale wanaomkumbuka.Mimi nina sifa na vigezo vya kuwa mbunge kupitia chama changu cha upinzani Chadema. Ila tatizo nikishachaguliwa itanilazimu kuwa nakatwa milioni 1 kila mwezi na chama kupitia account ya mwenyekiti ambae ndio mwenye mamlaka ya kutafuna mamilioni hayo bila kuulizwa na chama, wala mwanachama yoyote kwa muda wa miaka mitano. Sasa kwa style hiyo bora niwe mpambe tu wa kawaida, huku nikishuhudia viongozi wa chama wakijineemesha kupitia ruzuku na michango mbali mbali ya wanachama, wafadhili nk. Hii ni style ya siasa za wajinga ndio waliwao.
Watu wenye uchungu na nchi hii wapo mkuu. Lakini wanashindwa kujitolea mali au pesa zao kwa vyama vya siasa baada ya kugundua kuwa viongozi wa vyama hivyo ni mafisadi, wenye tamaa na uchu wa madaraka. Miaka fulani ya nyuma kuliko na mzalendo mmoja anaitwa Sabodo ambae alikuwa tayari kutoa nusu au robo ya mali zake kupigania mageuzi au mabadiliko nchini. Sabodo aliwakabizi mamilioni ya shilingi viongozi wa chama kikuu fulani cha upinzani kwa lengo la kujenga na kuboresha ofisi zao, pia lengo lingine ilikuwa ni kupeleka baadhi ya pesa katika majimbo mbali mbali yalio chini ya wabunge wa chama hicho ili zisaidie kutatua kero ya maji kwa kujenga visima mbali mbali, kuwafadhili kina mama wa chama hicho kwa kuwafungulia vikundi vidogo vidogo vya kijasilia mali nk. Hii ingesaidia kukijenga chama zaidi na kuvuna mamilioni ya wanachama ambao wangeguswa na maendeleo yanayoletwa na chama hicho katika majimbo yao bila kutegemea pesa ya serikali. Cha kushangaza pesa hizo zimepigwa dana dana na kupotelea katika mikono ya wajanja wachache wa juu wa chama hicho, bila kujenga au kukarabati ofisi yoyote, bila kuchimba visima wala kuwasaidia kina mama walengwa. Sasa kwa style hii ya viongozi wa kisiasa ni nani atakaekubali kutoa hela yake ikaliwe na wajanja wachache wa chama. Si bora ununue magunia ya mchele, mahindi na vinywaji upeleke pale shule ya uhuru ukawasaidie walemavu huenda Mungu na yeye atakulipa kwa njia nyingine anayojua yeye.Kama tungekuwa na watu wenye uchungu wa kweli na mabadiliko nchi hii na siyo kuwa wabunge ili kupata mishahara mikubwa basi watu wangejitolea hata mishahara yao yote ili kukipa chama nguvu nchi nzima nadhani tungefika mbali zaidi
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hana hamu na WAJUMBE! Walichomfanyia kwenye kura za maoni, ni siri yake.Pascal Mayalla njoo huku tuna jambo letu