van_drakee
Member
- Sep 28, 2018
- 29
- 49
Sahv imeshafika DZC
Naona mwezi wa 7 au 8 E tayariSahv imeshafika DZC View attachment 2203667
9.5m
Cc 1999
Haipungui mkuu tumalize biashara??
Ipungue ngap mkuu
Ungenipa namba tuongee ….ingependeza sana mkuu
Ingia pm
Eeh mkuu gari unalo wewe tu😅Sizani kama ana gari
Mkuu hatufiki 2023 mzee amini kwamba! Kwa hii speed tuko DZC sahizi😅😅😅 ina maana soon kufiki June tutakuwa tunaelekea ukingoni kabisa so July inaweza tiki EDZA...899
DZB.....889
C hadi Z ukiondoa I na O unabakiwa herufi 22.
tutumie herufi B.
899*21=18,879
TRA wanasajiri wastani Wa 3000 kila mwezi.
bado miezi 7 kufika E,
itakuwa November huko, lakini uhalisia ni 2023 ndo E unaiona kitaa.
umeona mambo yasiwe mengi!!!Eeh mkuu gari unalo wewe tu
Eeh sio swalaumeona mambo yasiwe mengi!!!
Hoja imepitaMkuu hatufiki 2023 mzee amini kwamba! Kwa hii speed tuko DZC sahizi ina maana soon kufiki June tutakuwa tunaelekea ukingoni kabisa so July inaweza tiki E
Gari ipo wapi?9.5m
Cc 1999
Gari ipo wapi?
Maake apo kwanza ncheke😅 ina maana mpaka mwisho wa week hii tutakuwa tumeanza DZE namba inatembea kweli yani! D haifiki mwezi wa 8 hapo itakuwa ishakataHii ilikuwa Jumamosi Ila naskia mpaka sasa namba DZD zimefika 400 watu wanasubiri kutoa ndinga zao huko
View attachment 2211278