MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,924
- 8,911
Next week hii....DYZ wazeee hamna?
Kesho tuNext week hii....
Bado tu?Kesho tu
TayariDYZ wazeee hamna?
Namba D zimekaa miaka mingi, tangu 2012 mpka leo, takribani miaka 9 na ushee...
Namba D ndo inaishia ukingoni, Jana Gari zilizosajiliwa zilikua DWV.
View attachment 1888026
Sijui kwa herufi moja huneba magari mangapi mpk kuhamia herufi nyingine...
Nilisikia sijui ni magari 1000, yani ukitoka DW kwenda DX..
Jana tumesikia magari zaidi ya 3000 yameingia kwa mkupuo, ofcoz sio yote ni ya TZ, ila i bet 2000 yatakua ya hapa Tz...
Kwa idadi hiyo basi DZ inaingia mtaani mwezi huu na kudumu kwa miezi miwili...
Namba E rasmi October, D inakua yazamani
Kuna ambae anasubiri namba E kama mimi tuvute mkoko japani????
[/QUOT
Hii ni April 2022 bado naisubiri E ichomoze 🤦🤦
Bado tu?
Noma kweli yani! DZZ inaanza ku take over soon😅
Maskini anamilikije gari sasa? Aache kuwaza kula awaze gari?Sasa hizi Sheria za kuzuiwa gari za before 2010 kuingia nchini si ni janga mana gari SUV za miaka ya 2010 kuendelea kama huna million 30 huipata aiseee, maskini kumiliki gari nzuri ndo hivyo tena
Maskini anamilikije gari sasa? Aache kuwaza kula awaze gari?
LeoNoma kweli yani! DZZ inaanza ku take over soon
Imeisha hiyooooooo!!!!
Ni DZA, hadi kufika DZZ bado sana.Noma kweli yani! DZZ inaanza ku take over soon😅
Mpaka iishe soonNi DZA, hadi kufika DZZ bado sana.
Extrovert upo na eager sana na namba E hope utakuwa na EAA wakati wa baadae utatamani EYZMpaka iishe soon