Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 7,124
- 26,615
Umewahi kuona kamanda wa mgambo wa kijiji alafu mleviiiiiii wa mataptap, mwembambaaaaaaaaa hana afya kabisa, ana mindevu fulani michafu, mabuti yamechoka yameshonwa shonwa kila mahali ila kayapiga kiwi fresh, kavaa uniform ila alivyokondeana lile shati la mgambo limekuwa kama mfuko wa mashineni limefika kwenye magoti? Ndio huyu pimbiWewe ni kamanda?