celincolyn
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 243
- 43
Nasikitika kuona watu wanashangilia CHADEMA kupata mtikisiko mdogo wa kisiasa, hv CHADEMA ikifa.....tujiulize tu, pamoja na uwepo wa chama hiki lkn MaCCM yanatafuna nchi kama kwamba kesho yanahama je, CHADEMA ikifa si kwamba kila mtanzania atakuwa na bei yake sokoni? CHADEMA ikifa tu mm nahama nchi!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Napita tu mimi kwanza mgeni.
Napita tu mimi kwanza mgeni.