Wadau,
Kuna kipindi ambacho Press conference zilifanyika kwa wingi na nyingi zikiwa kuwatangaza watu waliounga mkono Juhudi JUHUDI. Tunasikia (hatuna ushahidi bado) kuwa kuna watu walilipiwa madeni na wengine kuahidiwa vyeo ili waunge mkono juhudi.
Halmashauri zilivurugwa, mameya wa majiji waliondolewa kwa nguvu, chaguzi ndogo zilifanyika na wabunge walirudishwa kwa hila za wazi (Mollel huko Hai, Mtulia na wengine)
Tunaoona mbali tulionya ya kuwa jambo hili halina siha kwa ustawi wa Taifa lakini waliotaka kumfurahisha mkuu walitukejeli. Sasa tufanye evaluation ya uwekezaji huu ulifanywa na Polepole na timu yake kwa kujibu maswali machache yafuatayo,
Kuna kipindi ambacho Press conference zilifanyika kwa wingi na nyingi zikiwa kuwatangaza watu waliounga mkono Juhudi JUHUDI. Tunasikia (hatuna ushahidi bado) kuwa kuna watu walilipiwa madeni na wengine kuahidiwa vyeo ili waunge mkono juhudi.
Halmashauri zilivurugwa, mameya wa majiji waliondolewa kwa nguvu, chaguzi ndogo zilifanyika na wabunge walirudishwa kwa hila za wazi (Mollel huko Hai, Mtulia na wengine)
Tunaoona mbali tulionya ya kuwa jambo hili halina siha kwa ustawi wa Taifa lakini waliotaka kumfurahisha mkuu walitukejeli. Sasa tufanye evaluation ya uwekezaji huu ulifanywa na Polepole na timu yake kwa kujibu maswali machache yafuatayo,
- Je, umerahisisha kampeni?
- Tuliowanunua watarudi?
- Tumependwa zaidi?