Tunaomiliki magari ya mzungu tukutane hapa

sakasaka,
1 series haina tofauti na BMW 3 series E90(2005- ). Zina-share kila kitu kasoro body tu. BMW ni BMW barabarani imetulia hata iwe 1 Series. Service ya kawaida tzs 100,000-150,000. Vitu vinavyosumbua ni vile vile vya gari yoyote used, ila BMW lazima uwe na hela sio kama Toyota.
 
kaka kwema, naomba unijuze kuhusu landrover discovery 2 2.5 td5 juu ya
1. Ulagi wa mafuta
2. Upatikanaji wa mafundi
4. Upatikanaji wa spea
5. Na gharama mpaka mkononi kutokea uingereza

Natanguliza shukran kaka
1. Mafuta inatumia vizuri sana
2. Mafundi wapo wengi
3. Spares zipo nyingi tu
4. Gharama inategemea unanunua yenye hali gani, kodi tumia kikokoteo cha TRA.
 
1 series haina tofauti na BMW 3 series E90(2005- ). Zina-share kila kitu kasoro body tu. BMW ni BMW barabarani imetulia hata iwe 1 Series. Service ya kawaida tzs 100,000-150,000. Vitu vinavyosumbua ni vile vile vya gari yoyote used, ila BMW lazima uwe na hela sio kama Toyota.
Asante Mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu RRONDO vipi kuhusu Jaquar X-Type kama hii ya 2003?
BG141198_c9fe7e.jpg
 
Mimi nimetokea kuipenda sana VW Jetta 2006 option nilizonazo ni kati ya 2005-2006 BMW 320i ila jamaa zangu wananiambia Jetta itanipa shida sana kwenye spare, ninachoipendea Jetta ni urahisi wa kuipimp ina pimpika vizuri sana..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom