TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,744
- 21,194
Mada mfano wa hii lazima ipotee kwa sababu haina wachangiaji na hata kama tupo we haven't to share sababu akili zimefungwa.
Nchi yetu imekosa mijadara ya kitaifa bali wengi wa wenye upeo wameishia kubeba filimbi vifuani kwa kukosa pumzi za kupulizia.
Makusanyo toka kwa raia yameongezeka nje ya kodi na serikali ikiojiwa, kiongozi mkubwa anajibu kwa nyodo hama nchi, ahahahaaa...
Nchi yetu imekosa mijadara ya kitaifa bali wengi wa wenye upeo wameishia kubeba filimbi vifuani kwa kukosa pumzi za kupulizia.
Makusanyo toka kwa raia yameongezeka nje ya kodi na serikali ikiojiwa, kiongozi mkubwa anajibu kwa nyodo hama nchi, ahahahaaa...