Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,204
- 42,063
Wasalaam!
Hii mada inataji picha zaidi kuliko maneno!
Ni kweli wahudumu wetu wa ndge ya ATCL ni wabaya na wafupi kama zakayo na hawana mvuto kama alivyosema Mh
Mbunge?
Ni nani mwenye picha za hao wahudumu?
Wako wapi?
Baada ya kugundua ni kweli tuna wahudumu wafupi na wabaya wasio na mvuto sasa tulio nao hao tuwafukuze kazi? Au wafungwe jela kwa kuwa wabaya na wasio na mvuto?
Mkurugenzi wa ATCL afukuze kazi kwa kuajiri wahudumu wafupi?
Lakini lazima tuanze kwanza kwa kuletewa picha za wahudumu wafupi ,wabaya wa ATCL na wasio na mvuto
Je ni hawa?
Hii mada inataji picha zaidi kuliko maneno!
Ni kweli wahudumu wetu wa ndge ya ATCL ni wabaya na wafupi kama zakayo na hawana mvuto kama alivyosema Mh
Ni nani mwenye picha za hao wahudumu?
Wako wapi?
Baada ya kugundua ni kweli tuna wahudumu wafupi na wabaya wasio na mvuto sasa tulio nao hao tuwafukuze kazi? Au wafungwe jela kwa kuwa wabaya na wasio na mvuto?
Mkurugenzi wa ATCL afukuze kazi kwa kuajiri wahudumu wafupi?
Lakini lazima tuanze kwanza kwa kuletewa picha za wahudumu wafupi ,wabaya wa ATCL na wasio na mvuto
Je ni hawa?