Tunaomba Serikali iwalinde Sibatanza dhidhi ya wapiga deal

mchumihalisi

Member
Oct 8, 2015
28
98
Najaribu kuvuta kumbukumbu na kumbukumbu hizi zinanirudisha nyuma mpaka Oct 2018 wakati Rais wa awamu ya tano Dkt John Magufuli alipoagiza kukusanywa kwa Wakulima korosho zote na baadhi ya Wanunuzi kufungiwa kwa sababu ya mazingira mengi ya kutunyonya sisi wakulima ikiwemo ‘Kangomba’ ambayo sio tu haikua na afya kwetu lakini ilikua inalenga kutudidimiza zaidi Wakulima.

Wakati tukiwa kwenye giza totoro la Korosho zetu likiendelea ndio tukawaona watu wanaitwa SIBATANZA ambao hawa walikuja kununua Korosho ambazo watu walishindwa kununua kutokana na suala la bei, SIBATANZA walinunua hizi kwa mwaka 2018/2019 baadae mwaka 2020 walinunua Zaidi ya tani 100,000 na huyu ndie alikua mkombozi kwa sisi Wakulima wa Korosho kusini.

Tuko mwaka 2021 na kampuni inayonunua tani nyingi za Korosho huku ni hii SIBATANZA, Kinachouma Zaidi ni kuhusu ‘wapiga dili’ambao walizoea kutunyonya Wakulima wa Korosho kuanza kuwahusisha SIBATANZA na viongozi wakubwa wa Kiserikali. Nia yao nini? SIBATANZA wasuse waondoke ili wakulima turudi kuteseka tena na bei za ajabu? Au kumchonganisha Rais na Watendaji wake wanaomsaidia majukumu?

Kama kuna muda ambao Wakulima wa Korosho Kusini tumenufaika ni huu uwepo wa hawa SIBATANZA lakini kama tukiendelea na hizi chokochoko za sababu kikundi Fulani cha watu Fulani kinashindwa kupiga ‘deal’ na kuamua kuturudisha huko tulikotoka basi wanatukosea sana sisi Wakulima lakini ni Dhahiri tunaweza kuwakosa wawekezaji wengi kwa kuendekeza mdomo na kuwachonganisha Viongozi wakuu wa Serikali na Wawekezaji mbalimbali wanaokuja nchini.

Salum Hassani Nandonde
Nkunya, Newala.
Nov 23rd 2021.
 
CCM hua tunajua siasa.Team A anapanga watu wamchafue Team B, team B nae anapanga watu wakumsafisha.kazi iendeleee
 
Tryagain yupo sahihi zaidi kuliko mchumihalisi Na mashirika wake Salum Hassan Nandonde hadi dakika ya 89. mchumihalisi ingia tena chimbo ili uje na utetezi Imara.
Unajua wengi wenu humu hamuijui Korosho na mapanga yake yanvyokuwa.

1.Hakuna Mtu anaweza kupiga shilingi 1000 Kwa kila kilo ya Korosho kwa kukata kwenye bei.
Hao wapigaji wote mnaowaona wanapigania kupiga panga la shilingi 5
hadi 50 halafu uniambie Kuna Mbunge anapata elfu Moja kila kilo(hamuijui korosho)

2.Niliona Mtu kaandika eti Mbunge anatumia magari yake kufanya magendo ya kangomba, Sasa najiuliza??!..anabebea Korosho??, Anabebea pesa za kangomba? au anabebea wanunuzi??
Yaani msichokijua kangomba haihitaji gari, ni boda tu inatosha. Jipangeni vizuri
 
Najaribu kuvuta kumbukumbu na kumbukumbu hizi zinanirudisha nyuma mpaka Oct 2018 wakati Rais wa awamu ya tano Dkt John Magufuli alipoagiza kukusanywa kwa Wakulima korosho zote na baadhi ya Wanunuzi kufungiwa kwa sababu ya mazingira mengi ya kutunyonya sisi wakulima ikiwemo ‘Kangomba’ ambayo sio tu haikua na afya kwetu lakini ilikua inalenga kutudidimiza zaidi Wakulima.

Wakati tukiwa kwenye giza totoro la Korosho zetu likiendelea ndio tukawaona watu wanaitwa SIBATANZA ambao hawa walikuja kununua Korosho ambazo watu walishindwa kununua kutokana na suala la bei, SIBATANZA walinunua hizi kwa mwaka 2018/2019 baadae mwaka 2020 walinunua Zaidi ya tani 100,000 na huyu ndie alikua mkombozi kwa sisi Wakulima wa Korosho kusini.

Tuko mwaka 2021 na kampuni inayonunua tani nyingi za Korosho huku ni hii SIBATANZA, Kinachouma Zaidi ni kuhusu ‘wapiga dili’ambao walizoea kutunyonya Wakulima wa Korosho kuanza kuwahusisha SIBATANZA na viongozi wakubwa wa Kiserikali. Nia yao nini? SIBATANZA wasuse waondoke ili wakulima turudi kuteseka tena na bei za ajabu? Au kumchonganisha Rais na Watendaji wake wanaomsaidia majukumu?

Kama kuna muda ambao Wakulima wa Korosho Kusini tumenufaika ni huu uwepo wa hawa SIBATANZA lakini kama tukiendelea na hizi chokochoko za sababu kikundi Fulani cha watu Fulani kinashindwa kupiga ‘deal’ na kuamua kuturudisha huko tulikotoka basi wanatukosea sana sisi Wakulima lakini ni Dhahiri tunaweza kuwakosa wawekezaji wengi kwa kuendekeza mdomo na kuwachonganisha Viongozi wakuu wa Serikali na Wawekezaji mbalimbali wanaokuja nchini.

Salum Hassani Nandonde
Nkunya, Newala.
Nov 23rd 2021.

fact… ifike mahali tupunguze deals hasa kwa watu ambao wanasaidiwa… agenda ni kumuinua mwanakijiji.. Sibatanza waungwe mkono watatuvusha wakulima huku kusini
 
Hakika......

Wazushi wameamua KUWACHAFUA wasaidizi waandamizi wa mh.Rais SSH,........


#SIEMPRE JMT
#NCHI KWANZA
 
Uzushi mtupu.....

Yaani mtu apige PANGA shilingi 1000?!!!!

Uongo wa millennia huu🤣🤣🤣

SIEMPRE JMT🙏
 
Najaribu kuvuta kumbukumbu na kumbukumbu hizi zinanirudisha nyuma mpaka Oct 2018 wakati Rais wa awamu ya tano Dkt John Magufuli alipoagiza kukusanywa kwa Wakulima korosho zote na baadhi ya Wanunuzi kufungiwa kwa sababu ya mazingira mengi ya kutunyonya sisi wakulima ikiwemo ‘Kangomba’ ambayo sio tu haikua na afya kwetu lakini ilikua inalenga kutudidimiza zaidi Wakulima.

Wakati tukiwa kwenye giza totoro la Korosho zetu likiendelea ndio tukawaona watu wanaitwa SIBATANZA ambao hawa walikuja kununua Korosho ambazo watu walishindwa kununua kutokana na suala la bei, SIBATANZA walinunua hizi kwa mwaka 2018/2019 baadae mwaka 2020 walinunua Zaidi ya tani 100,000 na huyu ndie alikua mkombozi kwa sisi Wakulima wa Korosho kusini.

Tuko mwaka 2021 na kampuni inayonunua tani nyingi za Korosho huku ni hii SIBATANZA, Kinachouma Zaidi ni kuhusu ‘wapiga dili’ambao walizoea kutunyonya Wakulima wa Korosho kuanza kuwahusisha SIBATANZA na viongozi wakubwa wa Kiserikali. Nia yao nini? SIBATANZA wasuse waondoke ili wakulima turudi kuteseka tena na bei za ajabu? Au kumchonganisha Rais na Watendaji wake wanaomsaidia majukumu?

Kama kuna muda ambao Wakulima wa Korosho Kusini tumenufaika ni huu uwepo wa hawa SIBATANZA lakini kama tukiendelea na hizi chokochoko za sababu kikundi Fulani cha watu Fulani kinashindwa kupiga ‘deal’ na kuamua kuturudisha huko tulikotoka basi wanatukosea sana sisi Wakulima lakini ni Dhahiri tunaweza kuwakosa wawekezaji wengi kwa kuendekeza mdomo na kuwachonganisha Viongozi wakuu wa Serikali na Wawekezaji mbalimbali wanaokuja nchini.

Salum Hassani Nandonde
Nkunya, Newala.
Nov 23rd 2021.
😍
 
vipi wale waliokuja na Private jet kutoka Kenya na kukutana prop Kabudi...
 
Nape yupo kwenye mpambano mkali na marehemu, wapiga kura wake wananyonywa!

Kamilius naye yupo katika mpambano na marehemu, anauota urais wa JMT wapiga kura wake wananyonywa!
 
Unamgombanisha Nani kwa rais, wakati rais nae ni wale wale hataki kushughulika na shida na kero za wanainchi
 
Back
Top Bottom