Tunaomba Serikali ilizingatie hili katika ajira kwa maafisa watendaji wa Serikali za vijiji na mitaa

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Dec 26, 2015
2,536
4,513
Huku ndiko kwenye mashina ya wananchi, ndipo wanapokutana na wananchi moja kwa moja kutatua changamoto zao. Kama vile migogoro ya ardhi, familia na kimkataba.

Lakini serikali inatuletea mabinti wadogo wadogo, kweli kuja kusikiliza migogoro ya ndoa, familia na kiuchumi kweli? Wanasikiliza na kutoa ushauri gani hawa?

Nashauri serikali iweke utaratibu wa hizi ofisi za mashinani kuweka watu wazima wenye upeo wa kuyapambanua mambo, hekima busara experience na uadilifu, tena ikibidi katika wakazi kabisa wa mji husika.

Hivi vitoto hasa hasa vibinti hivi ni mtihani tu. Ni mitihani tupu. Jinsi wanavyoshughulikia migogoro ni kama wanavyoshughulikia migogoro yao na boyfriends zao.
 
Huku ndiko kwenye mashina ya wananchi...ndipo wanapokutana na wananchi moja kwa moja kutatua changamoto zao...

Kama vile migogoro ya ardhi, familia na kimkataba...

Lakini serikali inatuletea MABINT WADOGO WADOGO...kweli kuja kusikiliza migogoro ya ndoa, familia na kiuchumi kweli? Wanasikiliza na kutoa ushauri gani hawa...?

Nashauri serikali iweke utaratibu wa hizi ofisi za mashinani kuweka watu wazima wenye upeo wa kuyapambanua mambo...hekima busara experience na uadilifu, tena ikibidi katika wakazi kabisa wa mji husika.

Hivi vitoto hasa hasa vibint hivi ni mtihani tu...NI MITIHANI TUPU. Jinsi wanavyoshughulikia migogoro...ni kama wanavyoshughulikia migogoro yao na boyfriends zao.
Mtoa mada heshimu taalama za watu,hao unaowadharau kimuonekano wamesomea hayo mambo na hata kutenda wanafuata Taratibu za Kisheria,na miongozo Yao ya kiutendaji...
 
Mtoa mada heshimu taalama za watu,hao unaowadharau kimuonekano wamesomea hayo mambo na hata kutenda wanafuata Taratibu za Kisheria,na miongozo Yao ya kiutendaji...
Kwa kiasi fulani mleta mada yupo sahihi, kwa mfano, nilienda ofisi fulani nikampa salamu secretary hakakujibu, na mimi nikakaa kimya hadi ajibu salamu ndipo nieleze shida yangu

Kakasema "nakusikiliza" sikutaka nikachane muda ule,basi nikaeleza shida yangu lakini hakakunipa majibu mazuri,kinaongea kama hakitaki na sauti haitoki,ilibidi niwe mkali ndipo nikhudumiwa vizuri

Jana pia nimepiga simu ofisi moja ya umma, simu iliita mara nyingi bila kujibiwa, nikapiga tena mara ya nne ndipo ikapokelewa, nilipoeleza shida yangu yote yule binti hakujibu mpaka nikauliza "Hello ,mbona hujibu"

Hapo ndipo kikajibu lakini majibu kaliyotoa ni kama shule kalienda kusomea ujinga maana hata kenyewe hakajui kanachonijibu

Kwa kifupi, hii nchi wasomi wetu wengi ni wapumbavu kama samia alivowaita, hasa sisi vijana
 
Maranyingi hizo nafasi za utendaji,wanapeana kikada,nikimaanisha aanachama,u-competence wa hao wahudumu hauzingatiwi.
Wanakaa tu,kusubiria 2000/= za barua za utambulisho pamoja na percent za mauziano ya ardhi,sijui hata serikali inayajua yanayotokea kwenye hizi ofisi?
Ndiyomaana baadhi ya sehemu wanawakatakata,wengi wamegeuza zile ofisi kama za kwao.
 
Mtoa mada heshimu taalama za watu,hao unaowadharau kimuonekano wamesomea hayo mambo na hata kutenda wanafuata Taratibu za Kisheria,na miongozo Yao ya kiutendaji...
Nina uzoefu na hili, yaani nimekuta kabinti kadogo eti ni VEO, yaani hana kabisa uwezo wa hata kuendesha vikao, achilia mbali kutatua migogoro hapo kijijini. Matokeo yake migogoro inaendelea na hata kupelekea mauaji au uvunjifu wa amani.
 
Mtoa mada heshimu taalama za watu,hao unaowadharau kimuonekano wamesomea hayo mambo na hata kutenda wanafuata Taratibu za Kisheria,na miongozo Yao ya kiutendaji...
TAALUMA NI TOFAUTI NA WANAYOKUTANA NAYO...TUNAYAONA HUKU MITAANI JINSI WANAVYODILI NA MAMBO...
 
Kwa kiasi fulani mleta mada yupo sahihi, kwa mfano, nilienda ofisi fulani nikampa salamu secretary hakakujibu, na mimi nikakaa kimya hadi ajibu salamu ndipo nieleze shida yangu

Kakasema "nakusikiliza" sikutaka nikachane muda ule,basi nikaeleza shida yangu lakini hakakunipa majibu mazuri,kinaongea kama hakitaki na sauti haitoki,ilibidi niwe mkali ndipo nikhudumiwa vizuri

Jana pia nimepiga simu ofisi moja ya umma, simu iliita mara nyingi bila kujibiwa, nikapiga tena mara ya nne ndipo ikapokelewa, nilipoeleza shida yangu yote yule binti hakujibu mpaka nikauliza "Hello ,mbona hujibu"

Hapo ndipo kikajibu lakini majibu kaliyotoa ni kama shule kalienda kusomea ujinga maana hata kenyewe hakajui kanachonijibu

Kwa kifupi, hii nchi wasomi wetu wengi ni wapumbavu kama samia alivowaita, hasa sisi vijana
Afadhali umeeleza...mimi nimeona uvivu kueleza masaibu nayoyaona na jinsi hawa ma VEO wanavyoshughulikia matatizo...
 
😅😂 Kwahio mnataka watu wazima... Watoke wapi wakat mlisema mnahitaji wenye diploma na degree... Watu wazima wengi wamestaf, sasa hivi generation iliyopo ktk kada zote ni vijana... Muwavumilie tu ndio kujifunza kazi huko end of the day watakua mahiri...
 
Ila kweli hasa mjini wanapelekwa vijana na mabinti wadogo tyuuh.

Mwaka jana nilikua home likizo, sasa nikaenda ofisini kuchukua no ya Nida, couz nilipotezaa, nafika namkuta mkaka ki umri tuko sawa, au km kanizidi bas mwaka 1 au 2,

Namsalimia hajibu yuko buzzy na cm, nkakaa kmyaa baadae anajibu nikusaidie nn??
Nkamuambia shda yangu, akanipa kitabu nkatafuta nkaipata namkabadhi kitabuu chake anasema et ooh kwahyo unaondoka tyuuh bila utaratibu. Nauliza upi eti kwan ulikujajee?

Nkajisemea wee hunijui vizuri, nkaanza kumchamba pale pale, eti ooh ntakushtaki, nkamuambia utanipa barua ya wito na ntaitika, Diploma au Degree yako ya mipango kawasumbue nayo wengine, tena ukomee.

Alibaki kmyaaa,
 
Ila kweli hasa mjini wanapelekwa vijana na mabinti wadogo tyuuh.

Mwaka jana nilikua home likizo, sasa nikaenda ofisini kuchukua no ya Nida, couz nilipotezaa, nafika namkuta mkaka ki umri tuko sawa, au km kanizidi bas mwaka 1 au 2,

Namsalimia hajibu yuko buzzy na cm, nkakaa kmyaa baadae anajibu nikusaidie nn??
Nkamuambia shda yangu, akanipa kitabu nkatafuta nkaipata namkabadhi kitabuu chake anasema et ooh kwahyo unaondoka tyuuh bila utaratibu. Nauliza upi eti kwan ulikujajee?

Nkajisemea wee hunijui vizuri, nkaanza kumchamba pale pale, eti ooh ntakushtaki, nkamuambia utanipa barua ya wito na ntaitika, Diploma au Degree yako ya mipango kawasumbue nayo wengine, tena ukomee.

Alibaki kmyaaa,
why mipango?!!na sio hombolo
 
Kwa kiasi fulani mleta mada yupo sahihi, kwa mfano, nilienda ofisi fulani nikampa salamu secretary hakakujibu, na mimi nikakaa kimya hadi ajibu salamu ndipo nieleze shida yangu

Kakasema "nakusikiliza" sikutaka nikachane muda ule,basi nikaeleza shida yangu lakini hakakunipa majibu mazuri,kinaongea kama hakitaki na sauti haitoki,ilibidi niwe mkali ndipo nikhudumiwa vizuri

Jana pia nimepiga simu ofisi moja ya umma, simu iliita mara nyingi bila kujibiwa, nikapiga tena mara ya nne ndipo ikapokelewa, nilipoeleza shida yangu yote yule binti hakujibu mpaka nikauliza "Hello ,mbona hujibu"

Hapo ndipo kikajibu lakini majibu kaliyotoa ni kama shule kalienda kusomea ujinga maana hata kenyewe hakajui kanachonijibu

Kwa kifupi, hii nchi wasomi wetu wengi ni wapumbavu kama samia alivowaita, hasa sisi vijana
🙂🙂
 
Back
Top Bottom