respect wa boda
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 4,557
- 3,832
Wakuu salam
Naam kwasasa Jf inatakribani ya wapigakura laki sita (600.000) ambao wako active. Kwa mgombea atakayefanikiwa kuwashawishi member wa Jf ni wazi atakuwa na kura za kuanzia ambazo ndizo nilizoweka hapo juu.
Tumeona Watia nia wa Urais wakipita huko na huko kujaribu kushawishi Makundi mbali mbali ya Jamii ili wapate kuungwa mkono kwa nia yao hiyo.
Tumeona Ndg Edward Lowassa akiitisha press na Wahariri wa vyombo vya habari akielezea yale ambayo anaona yanaweza kumjenga ktk nia yake ya kuutaka Urais. Na akatoa ahadi ya kutia nia Rasmi huko Arusha tar 30/05/2015 kimsingi tayari amekwisha tia nia, ila siku hiyo anakwenda kuzindua rasmi
Kwa kuzingatia hilo tunaomba Mdahalo kati ya Lowassa na Member wa Jamiiforums, ili pamoja na mambo mengine tuweze kumuuliza maswali ambayo yamekuwa na dukuduku kwa wapiga kura wengi si tu hapa Jf, bali Tanzania kwa ujumla. Utengenezwe utaratibu uwe wa kumshawishi Lowassa mwenyewe kujisajili hapa au atumiwe maswali ambayo akiyajibu, majibu yake yawekwe hapa ili kukonga nyoyo za Watanzania member wa Jf.
Likifanikiwa hili tusiishie tu kwa Lowassa tuombe Midahalo kwa Watia nia wote wa ccm na Upinzani.
Wakuu nawasilisha
BACK TANGANYIKA
Naam kwasasa Jf inatakribani ya wapigakura laki sita (600.000) ambao wako active. Kwa mgombea atakayefanikiwa kuwashawishi member wa Jf ni wazi atakuwa na kura za kuanzia ambazo ndizo nilizoweka hapo juu.
Tumeona Watia nia wa Urais wakipita huko na huko kujaribu kushawishi Makundi mbali mbali ya Jamii ili wapate kuungwa mkono kwa nia yao hiyo.
Tumeona Ndg Edward Lowassa akiitisha press na Wahariri wa vyombo vya habari akielezea yale ambayo anaona yanaweza kumjenga ktk nia yake ya kuutaka Urais. Na akatoa ahadi ya kutia nia Rasmi huko Arusha tar 30/05/2015 kimsingi tayari amekwisha tia nia, ila siku hiyo anakwenda kuzindua rasmi
Kwa kuzingatia hilo tunaomba Mdahalo kati ya Lowassa na Member wa Jamiiforums, ili pamoja na mambo mengine tuweze kumuuliza maswali ambayo yamekuwa na dukuduku kwa wapiga kura wengi si tu hapa Jf, bali Tanzania kwa ujumla. Utengenezwe utaratibu uwe wa kumshawishi Lowassa mwenyewe kujisajili hapa au atumiwe maswali ambayo akiyajibu, majibu yake yawekwe hapa ili kukonga nyoyo za Watanzania member wa Jf.
Likifanikiwa hili tusiishie tu kwa Lowassa tuombe Midahalo kwa Watia nia wote wa ccm na Upinzani.
Wakuu nawasilisha
BACK TANGANYIKA