Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,105
Miaka michache iliyopita DC wa Kyela aliyejulikana kwa jina la Mashimba ( niko tayari kusahihishwa ) aliondolewa Wilayani humo kwa tuhuma za kufumaniwa na mke wa mtu , hii ilikuja kufahamika baada ya maofisa wilayani Kyela kuchoshwa na tabia mbaya ya DC huyo , baada ya kuondolewa haikufahamika hadi leo hatua zingine zilizofuatia.
Sasa ninaomba mamlaka zinazohusika na wateule hawa ambao pia kwenye maeneo yao ni miungu watu , zitoe muongozo wa wazi kwa jamii kuhusiana na watu hawa ambao kwao Uzinzi ni sehemu ya majukumu yao.
Naomba kuwasilisha
Sasa ninaomba mamlaka zinazohusika na wateule hawa ambao pia kwenye maeneo yao ni miungu watu , zitoe muongozo wa wazi kwa jamii kuhusiana na watu hawa ambao kwao Uzinzi ni sehemu ya majukumu yao.
Naomba kuwasilisha