Tunaomba kutangaziwa mapato ya TRA mwezi Disemba 2016 tafadhali

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058
Kulikuwa na kawaida ya kututangazia mapato ya kila mwezi kutoka kwa TRA, walikuwa wanafanya kazi nzuri sana na kuonyesha uwazi.. nawapongeza sana
Ila kwa mwezi Novemba hawakutangaza na sijui kwa nini, mwezi Disemba umeshapita naomba tutangaziwe mapato yake pia ili kuendeleza uwazi ulianzishwa na wananchi kujua nchi yao inavyoendelea
 
Mapato yapo yanapitia katika kipindi kigumu sana..............

Watanzania muwe watulivu ......

Wakati tukijiandaa kuwatangazia.......

Asanteni sana........
 
Nadhani ni bora wasitangaze. Haina tija. Ni bora TRAFFIC POLICE waachiwe sasa kazi ya kutangaza maana kasi yao ya kuikusanyia mapato serikali yetu ni ya kiwango cha 10G
 
Nadhani ni bora wasitangaze. Haina tija. Ni bora TRAFFIC POLICE waachiwe sasa kazi ya kutangaza maana kasi yao ya kuikusanyia mapato serikali yetu ni ya kiwango cha 10G
naona mnajadili kimasihara hapa wadau, hili ni jambo serious
 
Nilisha sema yakizidi billion 700 ya november bila editing magufuli anifunge kifungo cha maisha.
Na utafungwa tuu maana huelewi mfumo ulivyo. Mwezi dec makampuni yanalipa provision tax, hivyo hiyo ni kama sehemu tuu ya vyanzo vitakavyofanya mapato ya dec yazidi ya Nov. Tengua kauli mkuu
 
Sasa ile honey moon imeisha madeni ya nyuma hakuna tunaingia kipindi cha masika mda wa kulima, watalii season haipo, wafanya biashara wana lalama, kuanzia november mpaka april wata miss target zao zote!
Tz tunakua kiuchumi, inabidi watu waangalie mapato kipindi cha mwinyi yalivyo jump, mkapa ya jump zaidi kikwete yaka jump sasa hawa wa sasa mapato yalitakiwa ya jump namaanisha nini? Mazingira rafiki ya biashara simply wange hit 1.5 trillion per month ingekuwa normal by the the time wanaondoka ilitakiwa wawe 2 trillion.
Naposema ku jump namaanisha mwinyi alizid double ya Nyerere, na Mkapa alizid double ya Mwinyi na Kikwete alizid double ya Mkapa! May be ni si wajaji sana maana mda bado upo! Lkn missing targets ndo kipimo.
 
Sasa ile honey moon imeisha madeni ya nyuma hakuna tunaingia kipindi cha masika mda wa kulima, watalii season haipo, wafanya biashara wana lalama, kuanzia november mpaka april wata miss target zao zote!
Tz tunakua kiuchumi, inabidi watu waangalie mapato kipindi cha mwinyi yalivyo jump, mkapa ya jump zaidi kikwete yaka jump sasa hawa wa sasa mapato yalitakiwa ya jump namaanisha nini? Mazingira rafiki ya biashara simply wange hit 1.5 trillion per month ingekuwa normal by the the time wanaondoka ilitakiwa wawe 2 trillion.
Naposema ku jump namaanisha mwinyi alizid double ya Nyerere, na Mkapa alizid double ya Mwinyi na Kikwete alizid double ya Mkapa! May be ni si wajaji sana maana mda bado upo! Lkn missing targets ndo kipimo.


Hakika katika mwaka wa mwisho wa uraisi Mkapa alifikia makusanyo ya kodi mara nne ya Mwinyi; Kikwete alifikia mara nne ya Mkapa. Mheshimiwa akifikisha trilions 3.6 kwa mwezi mwisho wa muhula wake wa pili itakuwa in trend ya kawaida kabisa. Trilioni tano kwa mwezi tutashangilia na kumpongeza kwa kazi nzuri.
 
Bwana Yesu alisema mtawatambua kwa matendo, hatuchumi tini katika mzabibu. Matendo yao yanaonyesha ni kiasi gani kimepatikana
 
Hakika katika mwaka wa mwisho wa uraisi Mkapa alifikia makusanyo ya kodi mara nne ya Mwinyi; Kikwete alifikia mara nne ya Mkapa. Mheshimiwa akifikisha trilions 3.6 kwa mwezi mwisho wa muhula wake wa pili itakuwa in trend ya kawaida kabisa. Trilioni tano kwa mwezi tutashangilia na kumpongeza kwa kazi nzuri.
wanadai tupo kwenye uchumi halisia kwa sasa mkuu..yaani uchumi wa kipindi cha kikwete ulikuwa mkubwa lakini ni fake yaani bubble a.k.a pulizo, kubwa lakini ndani ni hewa tupu
 
Back
Top Bottom