Tunaomba kutangaziwa mapato ya TRA mwezi Disemba 2016 tafadhali

kweli kaka tuligeuza debits kuwa collected revenue
sasa tunakoelekea tunakwenda kuanzsha TPRA Traffic police Revenue authority Mungu akipenda labda mwezi feb tunapeleka muswada maana hakuna namna yani chalii mlalo wa mende
Mkuu huku barabarani tunateseka sana kosa dogo elfu 30 au kama unataka unafuu ukubali kutoa hela ya kupiga brash yaani ni balaa utatamani uache gari kwa jinsi traffic police walivyo wasumbufu
 
P
heradius12 mbona umejitoa mhanga sana? inamaana mapato ndio yamedrop kias iko?
Ndugu yangu mapato ya mwezi julai mwaka jana yalikuwa sawa na anayotamka heradius 12 lakini ndiyo hakukuwa na jinsi watu wanalinda vitumbua vyao ikatangazwa tril.1.1
 
M nadhan n vizuri uwazi uwepo, na katika taasisi za serikali ambazo zinajitahidi kwa uwazi TRA n mojawapo. naomba kuuliza hivi unawezaje kupika data na kuziweka hadharani? coz hivi vitu lazima mwisho wa siku vije kujadiliwa BUNGENI, TRA ikipika data si zitaonekana?...kwenye lengo vs makusanyo ya mwaka?. m sidhani kama wanaweza kupika data, na wala haitaleta logic yeyote maana itakuwa rahisi sana kuwagundua. Tena wakifanya hivyo watatumbuliwa tu.
kuna vitu vya kushabikia lakin sio makusanyo kushuka, halafu tuna uhakika gani kwamba yameshuka?.leo ndo kwanza tarehe 6, tarehe saba n due date ya withholding taxes,halafu tunasema watangaze ya december....sio sawa...tuwape muda jamani.
 
Trilioni 1.2 gawanya kwa 2

Ni bora wawe wakweli, tu maana wakipika data hawamsaidii mzee kwa sababu tukiona figure kubwa na sisi demand yetu ya huduma inakuwa juu, sasa mzee akishindwa kuprovide tutamlaumu!

Na pia wakitangaza mapato kidogo, lawama zetu ziko palepale, kwa kuwa sasa tutauliza kuwa kwa nini ni kidogo, ina maana serikali imeshindwa kustimulate uchumi?

Kwa vyovyote vile ni loose loose situation lakini ni win win situation kwetu sisi wananchi!

Baada ya kusema hayo TRA tunaomba makusanyo ya November na December tafadhali
 
Anasubiri atangaze January mana ndo miezi tunayolipa Kodi...nchi imewashinda kabla hawajamaliza safari
 
Wametoa mpaka November ambayo ni trion 1.1Nov. Bado Dec, kila mwez yanashuka maana walikua wanajumuisha na hela za kagera! Serikali inaomba tena janga litokee ili ipate mapato ya michango ya wadau ili leo ielekeze kwenye kumalizia viwanda!
 
wadau due date for withholding taxes za mwezi december n tarehe 7/01 yaani kesho. watatangaza vipi?. tuwape muda wadau.
halafu makusanyo kushuka sio jambo la kufurahia hata kidogo.
 
Kulikuwa na kawaida ya kututangazia mapato ya kila mwezi kutoka kwa TRA, walikuwa wanafanya kazi nzuri sana na kuonyesha uwazi.. nawapongeza sana
Ila kwa mwezi Novemba hawakutangaza na sijui kwa nini, mwezi Disemba umeshapita naomba tutangaziwe mapato yake pia ili kuendeleza uwazi ulianzishwa na wananchi kujua nchi yao inavyoendelea
Watatangaza yaliyopanda ambayo ni ya mwez huu januari ambapo watu wamelipa madeni ya mwisho wa mwaka na leseni nyingi hua zinalipiwa kipindi hichi... Subiri uone
 
Mapato yapo yanapitia katika kipindi kigumu sana..............

Watanzania muwe watulivu ......

Wakati tukijiandaa kuwatangazia.......

Asanteni sana........
Tena watanzania muache kudodosa mapato hata mkitangaziwa!matumizi hampangi nyie hata bunge kibogoyo haliwezi kuhoiji kwasasa.mtulie tuna mambo mengi ya kufanya nchi bado imepinda
 
Sioni sababu ya kututangazia mapato ya serikali kila mwezi. Fedha zikipatikana ziendelee kutumika .Labda watutangazie kila baada ya miezi mitatu au minne.
 
wadau due date for withholding taxes za mwezi december n tarehe 7/01 yaani kesho. watatangaza vipi?. tuwape muda wadau.
halafu makusanyo kushuka sio jambo la kufurahia hata kidogo.
hawajatangaza bado, hata mwezi novemba mbona hawakutangaza pia??
 
Back
Top Bottom