MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,783
Wasalaam,
Nimekuwa nikisikia taarifa mbalimbali zisizo rasmi kuhusu huyu Mzee wetu, Marehemu Jenerali Imran Kombe. Kuna wazee tofauti tofauti ambao waliwahi kukaa naye karibu wakati wa uzima wake: Wengine waliwahi kusoma naye shule, kuna moja aliwahi kusema "Kombe alikuwa ni moja kati ya Watanzania wenye akili sana sanaa" na mwingine alisema "Kombe alivyouawa kuna mambo mengi sana yameharibika kwenye ulinzi hapa nchini"
Binafsi ninapenda kujua wasifu (ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI) wa huyu jamaa wakati wa Uhai wake. Maana alishika nafasi nyeti (Ukurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa) sana wakati nchi yetu iko katika kipindi kigumu cha mpito: (Kutoka kwenye mfumo wa Ujamaa na Chama kimoja kuelekea mfumo wa Kibepari na vyama vingi)
Nawasilisha!
Nimekuwa nikisikia taarifa mbalimbali zisizo rasmi kuhusu huyu Mzee wetu, Marehemu Jenerali Imran Kombe. Kuna wazee tofauti tofauti ambao waliwahi kukaa naye karibu wakati wa uzima wake: Wengine waliwahi kusoma naye shule, kuna moja aliwahi kusema "Kombe alikuwa ni moja kati ya Watanzania wenye akili sana sanaa" na mwingine alisema "Kombe alivyouawa kuna mambo mengi sana yameharibika kwenye ulinzi hapa nchini"
Binafsi ninapenda kujua wasifu (ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI) wa huyu jamaa wakati wa Uhai wake. Maana alishika nafasi nyeti (Ukurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa) sana wakati nchi yetu iko katika kipindi kigumu cha mpito: (Kutoka kwenye mfumo wa Ujamaa na Chama kimoja kuelekea mfumo wa Kibepari na vyama vingi)
Nawasilisha!