Kangi Lugora kufanya jambo la kizalendo. Nyiye polisi mmetuchosha sana tu.
Akae pembeni pesa na malupulupu utampa? Watu wana angalia pesa na matumbo yao heshima wapelekee wazee wa barazaKuna mwingiliano mkubwa wakiutendaji kati ya waziri na IGP, hao ma RPC ni wateule IGP na yeye ndo anawajua ndani nje, mwenye mamlaka yakuwatoa ni IGP kwa ombi la waziri co waziri kutoka vichakani na kutoa maagizo as if yeye ndo Sirro, hivi leo hi waziri wa ulinzi anaweza kuwaondoa mabrigedia kwenye kamandi zao? Time will tell ipo siku Sirro atakua kama Kipilimba kwenye ishu na Msalika,Lugola apigwe chini au Sirro akae pembeni kulinda heshima yake iliyotukuka.
Kuna mwingiliano mkubwa wakiutendaji kati ya waziri na IGP, hao ma RPC ni wateule IGP na yeye ndo anawajua ndani nje, mwenye mamlaka yakuwatoa ni IGP kwa ombi la waziri co waziri kutoka vichakani na kutoa maagizo as if yeye ndo Sirro, hivi leo hi waziri wa ulinzi anaweza kuwaondoa mabrigedia kwenye kamandi zao? Time will tell ipo siku Sirro atakua kama Kipilimba kwenye ishu na Msalika,Lugola apigwe chini au Sirro akae pembeni kulinda heshima yake iliyotukuka.
Sawa wametuchosha ila inatekelezeka!?? Au ukichaa tu!??