YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,902
Mnahangaika sana mitandaoni na kujificha kwa Ndugai itisheni baraza kuu lenu la CHADEMA liamue
Kwa nini hamtaki kuitisha kikao cha baraza kuu mnaruka ruka mitandaoni kila dakika Ndugai
chadema acheni kujificha kwa Ndugai itisheni kikao CHa baraza kuu la CHADEMA limalize hilo swala
Kwa nini msukumie eti kwa maaskofu .Kitu cha kumalizwa na baraza kuu lenu mnasukumia maaskofu?
Kuna kitu kimejificha kwa nini mnakwepa kuitisha kikao cha baraza kuu?
Kwa nini hamtaki kuitisha kikao cha baraza kuu mnaruka ruka mitandaoni kila dakika Ndugai
chadema acheni kujificha kwa Ndugai itisheni kikao CHa baraza kuu la CHADEMA limalize hilo swala
Kwa nini msukumie eti kwa maaskofu .Kitu cha kumalizwa na baraza kuu lenu mnasukumia maaskofu?
Kuna kitu kimejificha kwa nini mnakwepa kuitisha kikao cha baraza kuu?