Tunaomba Kanisa Katoliki na KKKT watusaidie kukemea uvunjaji wa Katiba unaofanywa na Spika wa Bunge na Naibu wake

Mnahangaika sana mitandaoni na kujificha kwa Ndugai itisheni baraza kuu lenu la CHADEMA liamue
Kwa nini hamtaki kuitisha kikao cha baraza kuu mnaruka ruka mitandaoni kila dakika Ndugai

chadema acheni kujificha kwa Ndugai itisheni kikao CHa baraza kuu la CHADEMA limalize hilo swala

Kwa nini msukumie eti kwa maaskofu .Kitu cha kumalizwa na baraza kuu lenu mnasukumia maaskofu?

Kuna kitu kimejificha kwa nini mnakwepa kuitisha kikao cha baraza kuu?
 
Mahakamani kuna akina Biswalo, walewale waliotumika kukandamiza haki za watu sasa wamegeuka majaji.

Pia kulinda KATIBA ya nchi si kwa ajili ya CHADEMA bali ninkwa ajili ya nchi nzima, kwa hiyo ni muhimu kila mpenda nchi hii kukemea Ujinga na udhalimu huu wa waziwazi
Hakika umenena vema Mungu akupe upeo zaidi ya huyo kilaza
 
Kwenu Maaskofu, Amani ya BWANA iwe nanyi,

Ni matumaini yangu, mnaendelea salama na kwa amani tele katika majukumu yenu ya kuwapa chakula cha roho kondoo wenu.

Nimeonelea leo niongee nanyi ili kuwaomba wazee wetu mtusaidie sisi Wananchi wenzenu ambao wengi ni kondoo wenu katika tatizo hili kubwa sana lililotokea katika nchi yetu ambapo kuna watu wamejiinua na kutenda udhalimu wa wazi wa kubomoa misingi ya nchi yetu kwa kuvunja Katiba waziwazi tena kwa kibri kikubwa! .

Ndugu Maaskofu: Sisi wananchi twawategemea nyinyi siku zote kusaidia kuwarudisha watawala katika msitari na mmekuwa mkitetea haki bila woga kwa sababu mtawala asiyekemewa akikosa basi hujiona kuwa yeye hakuna cha kumzuia katika nchi na hivyo huendelea kufanya ufedhuli juu ya ufedhuli hadi kufikia kuitumbukiza nchi mahali pabaya.

Ndugu Maaskofu: Mlisimama kidete kuukemea utawala wa Magufuli juu ya haki za binadamu na demokrasia, Japo utawala ule haukupenda hivyo vitu lakini ilisaidia kupunguza kwa kiasi fulani matendo ya watu wasiojulikana!

Na mlisimama kidete kwenye suala la Korona na kuwataka waumini waanze kuchukua tahadhari, na kwa kiasi kikubwa maagizo yenu yalisaidia kupunguza kiwango cha maambukizi ambacho kilikuwa katika viwango vibaya kabisa mwezi January hadi March mwaka huu

Ndugu Maaskofu: Katiba ya nchi ni jambo nyeti, sisi wananchi tunatambua wazi, kuwa kuchezewa kwa katiba huwa hakuna mwisho mwema.

Nawaombeni, kama vile mlivyokwisha kufanya kazi nzuri za kichungaji huko nyuma kukemea ujinga, ushenzi, uonevu na dhulma, Nakuombeni msimame sasa kwa ajili yetu tena MTOE NYARAKA ZA KUKEMEA UVUNJAJI HUU WA KATIBA UNAOFANYWA NA SPIKA WA BUNGE NA NAIBU WAKE kwa kuruhusu watu wasio wanachama wa chama chochote kuwa Wabunge!

Ndugu Maaskofu: Utaratibu uliotumika na chama cha CHADEMA kumjulisha spika juu ya kufutwa uanachama waliokuwa wanachama wake ndiyo huohuo uliowahi kutumiwa na vyama vya CCM na CUF katika suala linalifanana!

Ndugu Maaskofu: Pengine wapo watakaodhani hili ni suala la kisiasa tu liachwe hukohuko kwenye siasa. La hasha hili si suala la kisiasa, hili ni suala la KIKATIBA, na katiba ikivunjwa wazi huku nanyi mnashuhudia ba msiseme neno, basi mtakuwa mnasaidia uwezeshwaji wa uvunjifu wa katiba mkubwa zaidi huko mbele maana precedent imewekwa. Ila mkikemea hili, basi hata huko mbeleni wenye kukusudia kubunja katiba watafikirua mara mbilimbili

Ndugu Maaskofu: Nyie ni wadau wetu sisi wananchi katika kujenga taifa Huru zaidi na la Haki zaidi na la Maendeleo zaidi. Ninaleta ombi hili maalum kwenu mtusaidie wananchi, maana Spika na Naibu wake wameamua kutudharau na hatuba cha kuwafanya, Wana Kinga na hawashitakiwi popote!
Ubarikiwe Sheikh.
Huyu Bwana Ndugai anajikuta untouchable, Ni kajinga na kapumbavu fulani kalikorithi upuuzi wa mwendazake
 
Kama hatutaki makanisa yafanye siasa basi na hili pia sio sawa

Utakuwa unafiki mkubwa kesho makanisa yakimponda Samia tukasirike halafu leo wakimponda Ndungai tufurahi..

Makanisa yakae mbali kabisa na siasa
Umeandika kitu gani hakieleweki, unamaanisha Ndugai aendelee kufanya chochote asikemewe kwasababu kufanya hivyo utatafsiri ni "kanisa kufanya siasa"

Unakuwa muoga wa kutetea haki kwa kuogopa kulaumiwa hata kama kufanya hivyo utawasemea wanaokandamizwa, badala yake unakaa kimya kwa kuogopa "kanisa kufanya siasa"

Unataka kum-exclude Ndugai afanye chochote atakacho ili na Samia akikosea asikosolewe? hapana wote wawili wakikosea lazima wakosolewe bila kujali nafasi zao.

Na sijui tangu lini kukemea maovu kukawa ni "kanisa kufanya siasa", hao wanasiasa nao ni watu wenye dini zao, sio wanyama, lazima waenende na mafundisho ya dini zao, wakipotoka lazima wakumbushwe.
 
In my opinion sioni shida ilimradi linagusa maslahi mapema ya wananchi !
You maybe right, but kama ndo hivo ,but beware of religiosity in politics,they maybe wise but ukiwafanya wachukue pande kila siku over political issues,they also become targets , and tutatengeneza turmoil kwnye nchi hii..
 
Kwenu Maaskofu, Amani ya BWANA iwe nanyi,

Ni matumaini yangu, mnaendelea salama na kwa amani tele katika majukumu yenu ya kuwapa chakula cha roho kondoo wenu.

Nimeonelea leo niongee nanyi ili kuwaomba wazee wetu mtusaidie sisi Wananchi wenzenu ambao wengi ni kondoo wenu katika tatizo hili kubwa sana lililotokea katika nchi yetu ambapo kuna watu wamejiinua na kutenda udhalimu wa wazi wa kubomoa misingi ya nchi yetu kwa kuvunja Katiba waziwazi tena kwa kibri kikubwa! .

Ndugu Maaskofu: Sisi wananchi twawategemea nyinyi siku zote kusaidia kuwarudisha watawala katika msitari na mmekuwa mkitetea haki bila woga kwa sababu mtawala asiyekemewa akikosa basi hujiona kuwa yeye hakuna cha kumzuia katika nchi na hivyo huendelea kufanya ufedhuli juu ya ufedhuli hadi kufikia kuitumbukiza nchi mahali pabaya.

Ndugu Maaskofu: Mlisimama kidete kuukemea utawala wa Magufuli juu ya haki za binadamu na demokrasia, Japo utawala ule haukupenda hivyo vitu lakini ilisaidia kupunguza kwa kiasi fulani matendo ya watu wasiojulikana!

Na mlisimama kidete kwenye suala la Korona na kuwataka waumini waanze kuchukua tahadhari, na kwa kiasi kikubwa maagizo yenu yalisaidia kupunguza kiwango cha maambukizi ambacho kilikuwa katika viwango vibaya kabisa mwezi January hadi March mwaka huu

Ndugu Maaskofu: Katiba ya nchi ni jambo nyeti, sisi wananchi tunatambua wazi, kuwa kuchezewa kwa katiba huwa hakuna mwisho mwema.

Nawaombeni, kama vile mlivyokwisha kufanya kazi nzuri za kichungaji huko nyuma kukemea ujinga, ushenzi, uonevu na dhulma, Nakuombeni msimame sasa kwa ajili yetu tena MTOE NYARAKA ZA KUKEMEA UVUNJAJI HUU WA KATIBA UNAOFANYWA NA SPIKA WA BUNGE NA NAIBU WAKE kwa kuruhusu watu wasio wanachama wa chama chochote kuwa Wabunge!

Ndugu Maaskofu: Utaratibu uliotumika na chama cha CHADEMA kumjulisha spika juu ya kufutwa uanachama waliokuwa wanachama wake ndiyo huohuo uliowahi kutumiwa na vyama vya CCM na CUF katika suala linalifanana!

Ndugu Maaskofu: Pengine wapo watakaodhani hili ni suala la kisiasa tu liachwe hukohuko kwenye siasa. La hasha hili si suala la kisiasa, hili ni suala la KIKATIBA, na katiba ikivunjwa wazi huku nanyi mnashuhudia ba msiseme neno, basi mtakuwa mnasaidia uwezeshwaji wa uvunjifu wa katiba mkubwa zaidi huko mbele maana precedent imewekwa. Ila mkikemea hili, basi hata huko mbeleni wenye kukusudia kubunja katiba watafikirua mara mbilimbili

Ndugu Maaskofu: Nyie ni wadau wetu sisi wananchi katika kujenga taifa Huru zaidi na la Haki zaidi na la Maendeleo zaidi. Ninaleta ombi hili maalum kwenu mtusaidie wananchi, maana Spika na Naibu wake wameamua kutudharau na hatuna cha kuwafanya, Wana Kinga na hawashitakiwi popote!
Waambieni wananchi wa kuongea na mbeya mjini wawakemee sababu ndo waajiri wao na si maskofu.
 
Kwenu Maaskofu, Amani ya BWANA iwe nanyi,

Ni matumaini yangu, mnaendelea salama na kwa amani tele katika majukumu yenu ya kuwapa chakula cha roho kondoo wenu.

Nimeonelea leo niongee nanyi ili kuwaomba wazee wetu mtusaidie sisi Wananchi wenzenu ambao wengi ni kondoo wenu katika tatizo hili kubwa sana lililotokea katika nchi yetu ambapo kuna watu wamejiinua na kutenda udhalimu wa wazi wa kubomoa misingi ya nchi yetu kwa kuvunja Katiba waziwazi tena kwa kibri kikubwa! .

Ndugu Maaskofu: Sisi wananchi twawategemea nyinyi siku zote kusaidia kuwarudisha watawala katika msitari na mmekuwa mkitetea haki bila woga kwa sababu mtawala asiyekemewa akikosa basi hujiona kuwa yeye hakuna cha kumzuia katika nchi na hivyo huendelea kufanya ufedhuli juu ya ufedhuli hadi kufikia kuitumbukiza nchi mahali pabaya.

Ndugu Maaskofu: Mlisimama kidete kuukemea utawala wa Magufuli juu ya haki za binadamu na demokrasia, Japo utawala ule haukupenda hivyo vitu lakini ilisaidia kupunguza kwa kiasi fulani matendo ya watu wasiojulikana!

Na mlisimama kidete kwenye suala la Korona na kuwataka waumini waanze kuchukua tahadhari, na kwa kiasi kikubwa maagizo yenu yalisaidia kupunguza kiwango cha maambukizi ambacho kilikuwa katika viwango vibaya kabisa mwezi January hadi March mwaka huu

Ndugu Maaskofu: Katiba ya nchi ni jambo nyeti, sisi wananchi tunatambua wazi, kuwa kuchezewa kwa katiba huwa hakuna mwisho mwema.

Nawaombeni, kama vile mlivyokwisha kufanya kazi nzuri za kichungaji huko nyuma kukemea ujinga, ushenzi, uonevu na dhulma, Nakuombeni msimame sasa kwa ajili yetu tena MTOE NYARAKA ZA KUKEMEA UVUNJAJI HUU WA KATIBA UNAOFANYWA NA SPIKA WA BUNGE NA NAIBU WAKE kwa kuruhusu watu wasio wanachama wa chama chochote kuwa Wabunge!

Ndugu Maaskofu: Utaratibu uliotumika na chama cha CHADEMA kumjulisha spika juu ya kufutwa uanachama waliokuwa wanachama wake ndiyo huohuo uliowahi kutumiwa na vyama vya CCM na CUF katika suala linalifanana!

Ndugu Maaskofu: Pengine wapo watakaodhani hili ni suala la kisiasa tu liachwe hukohuko kwenye siasa. La hasha hili si suala la kisiasa, hili ni suala la KIKATIBA, na katiba ikivunjwa wazi huku nanyi mnashuhudia ba msiseme neno, basi mtakuwa mnasaidia uwezeshwaji wa uvunjifu wa katiba mkubwa zaidi huko mbele maana precedent imewekwa. Ila mkikemea hili, basi hata huko mbeleni wenye kukusudia kubunja katiba watafikirua mara mbilimbili

Ndugu Maaskofu: Nyie ni wadau wetu sisi wananchi katika kujenga taifa Huru zaidi na la Haki zaidi na la Maendeleo zaidi. Ninaleta ombi hili maalum kwenu mtusaidie wananchi, maana Spika na Naibu wake wameamua kutudharau na hatuna cha kuwafanya, Wana Kinga na hawashitakiwi popote!
Kwa vike umwkosa kazi ya kufanya nao unataka waacha kufanya kazi zao wafanye ujinga huu- mwambieni Kitima na Ruawichi
 
Ndo maana nimekuwa more specific "I have talked about global community interest" Though nakubaliana na wewe in the other way around !
You maybe right, but kama ndo hivo ,but beware of religiosity in politics,they maybe wise but ukiwafanya wachukue pande kila siku over political issues,they also become targets , and tutatengeneza turmoil kwnye nchi hii..
 
Kwenu Maaskofu, Amani ya BWANA iwe nanyi,

Ni matumaini yangu, mnaendelea salama na kwa amani tele katika majukumu yenu ya kuwapa chakula cha roho kondoo wenu.

Nimeonelea leo niongee nanyi ili kuwaomba wazee wetu mtusaidie sisi Wananchi wenzenu ambao wengi ni kondoo wenu katika tatizo hili kubwa sana lililotokea katika nchi yetu ambapo kuna watu wamejiinua na kutenda udhalimu wa wazi wa kubomoa misingi ya nchi yetu kwa kuvunja Katiba waziwazi tena kwa kibri kikubwa! .

Ndugu Maaskofu: Sisi wananchi twawategemea nyinyi siku zote kusaidia kuwarudisha watawala katika msitari na mmekuwa mkitetea haki bila woga kwa sababu mtawala asiyekemewa akikosa basi hujiona kuwa yeye hakuna cha kumzuia katika nchi na hivyo huendelea kufanya ufedhuli juu ya ufedhuli hadi kufikia kuitumbukiza nchi mahali pabaya.

Ndugu Maaskofu: Mlisimama kidete kuukemea utawala wa Magufuli juu ya haki za binadamu na demokrasia, Japo utawala ule haukupenda hivyo vitu lakini ilisaidia kupunguza kwa kiasi fulani matendo ya watu wasiojulikana!

Na mlisimama kidete kwenye suala la Korona na kuwataka waumini waanze kuchukua tahadhari, na kwa kiasi kikubwa maagizo yenu yalisaidia kupunguza kiwango cha maambukizi ambacho kilikuwa katika viwango vibaya kabisa mwezi January hadi March mwaka huu

Ndugu Maaskofu: Katiba ya nchi ni jambo nyeti, sisi wananchi tunatambua wazi, kuwa kuchezewa kwa katiba huwa hakuna mwisho mwema.

Nawaombeni, kama vile mlivyokwisha kufanya kazi nzuri za kichungaji huko nyuma kukemea ujinga, ushenzi, uonevu na dhulma, Nakuombeni msimame sasa kwa ajili yetu tena MTOE NYARAKA ZA KUKEMEA UVUNJAJI HUU WA KATIBA UNAOFANYWA NA SPIKA WA BUNGE NA NAIBU WAKE kwa kuruhusu watu wasio wanachama wa chama chochote kuwa Wabunge!

Ndugu Maaskofu: Utaratibu uliotumika na chama cha CHADEMA kumjulisha spika juu ya kufutwa uanachama waliokuwa wanachama wake ndiyo huohuo uliowahi kutumiwa na vyama vya CCM na CUF katika suala linalifanana!

Ndugu Maaskofu: Pengine wapo watakaodhani hili ni suala la kisiasa tu liachwe hukohuko kwenye siasa. La hasha hili si suala la kisiasa, hili ni suala la KIKATIBA, na katiba ikivunjwa wazi huku nanyi mnashuhudia ba msiseme neno, basi mtakuwa mnasaidia uwezeshwaji wa uvunjifu wa katiba mkubwa zaidi huko mbele maana precedent imewekwa. Ila mkikemea hili, basi hata huko mbeleni wenye kukusudia kubunja katiba watafikirua mara mbilimbili

Ndugu Maaskofu: Nyie ni wadau wetu sisi wananchi katika kujenga taifa Huru zaidi na la Haki zaidi na la Maendeleo zaidi. Ninaleta ombi hili maalum kwenu mtusaidie wananchi, maana Spika na Naibu wake wameamua kutudharau na hatuna cha kuwafanya, Wana Kinga na hawashitakiwi popote!
Askofu Shoo hawezi kuniangusha Kijana wake mtiifu! Hapindishagi maneno kama Malasusa! Askofu Mwamakula nae yuko straight kama mkuki hanaga kona! Askofu Munga na Askofu yule Mhaya wamenyoooka kama tape measure. Hao wengine wanateleza kama kambale
 
Tumechoka na ujinga wenu kama mnaona wanavunja katina si muende mahakamani itafsilie hiyo sheria?
Sasa mnawambia kanisa kazi yao ni kutafsili sheria?
Kuna shida mahala kwenye bongo yako,
 
Kwenu Maaskofu, Amani ya BWANA iwe nanyi,

Ni matumaini yangu, mnaendelea salama na kwa amani tele katika majukumu yenu ya kuwapa chakula cha roho kondoo wenu.

Nimeonelea leo niongee nanyi ili kuwaomba wazee wetu mtusaidie sisi Wananchi wenzenu ambao wengi ni kondoo wenu katika tatizo hili kubwa sana lililotokea katika nchi yetu ambapo kuna watu wamejiinua na kutenda udhalimu wa wazi wa kubomoa misingi ya nchi yetu kwa kuvunja Katiba waziwazi tena kwa kibri kikubwa! .

Ndugu Maaskofu: Sisi wananchi twawategemea nyinyi siku zote kusaidia kuwarudisha watawala katika msitari na mmekuwa mkitetea haki bila woga kwa sababu mtawala asiyekemewa akikosa basi hujiona kuwa yeye hakuna cha kumzuia katika nchi na hivyo huendelea kufanya ufedhuli juu ya ufedhuli hadi kufikia kuitumbukiza nchi mahali pabaya.

Ndugu Maaskofu: Mlisimama kidete kuukemea utawala wa Magufuli juu ya haki za binadamu na demokrasia, Japo utawala ule haukupenda hivyo vitu lakini ilisaidia kupunguza kwa kiasi fulani matendo ya watu wasiojulikana!

Na mlisimama kidete kwenye suala la Korona na kuwataka waumini waanze kuchukua tahadhari, na kwa kiasi kikubwa maagizo yenu yalisaidia kupunguza kiwango cha maambukizi ambacho kilikuwa katika viwango vibaya kabisa mwezi January hadi March mwaka huu

Ndugu Maaskofu: Katiba ya nchi ni jambo nyeti, sisi wananchi tunatambua wazi, kuwa kuchezewa kwa katiba huwa hakuna mwisho mwema.

Nawaombeni, kama vile mlivyokwisha kufanya kazi nzuri za kichungaji huko nyuma kukemea ujinga, ushenzi, uonevu na dhulma, Nakuombeni msimame sasa kwa ajili yetu tena MTOE NYARAKA ZA KUKEMEA UVUNJAJI HUU WA KATIBA UNAOFANYWA NA SPIKA WA BUNGE NA NAIBU WAKE kwa kuruhusu watu wasio wanachama wa chama chochote kuwa Wabunge!

Ndugu Maaskofu: Utaratibu uliotumika na chama cha CHADEMA kumjulisha spika juu ya kufutwa uanachama waliokuwa wanachama wake ndiyo huohuo uliowahi kutumiwa na vyama vya CCM na CUF katika suala linalifanana!

Ndugu Maaskofu: Pengine wapo watakaodhani hili ni suala la kisiasa tu liachwe hukohuko kwenye siasa. La hasha hili si suala la kisiasa, hili ni suala la KIKATIBA, na katiba ikivunjwa wazi huku nanyi mnashuhudia ba msiseme neno, basi mtakuwa mnasaidia uwezeshwaji wa uvunjifu wa katiba mkubwa zaidi huko mbele maana precedent imewekwa. Ila mkikemea hili, basi hata huko mbeleni wenye kukusudia kubunja katiba watafikirua mara mbilimbili

Ndugu Maaskofu: Nyie ni wadau wetu sisi wananchi katika kujenga taifa Huru zaidi na la Haki zaidi na la Maendeleo zaidi. Ninaleta ombi hili maalum kwenu mtusaidie wananchi, maana Spika na Naibu wake wameamua kutudharau na hatuna cha kuwafanya, Wana Kinga na hawashitakiwi popote!
Kuna tatizo kubwa sn haswa kwa watu kama Ndugai hata kanisa liseme nini haitasaidi, muhimu wananchi tuamke tuseme basi inatosha
 
Ongezeni na Bagonza..mkishindwa kufikia malengo msisumbue maaskofu wengine wanaojielewa

tapatalk_1523874451299.jpg
 
Kwenu Maaskofu, Amani ya BWANA iwe nanyi,

Ni matumaini yangu, mnaendelea salama na kwa amani tele katika majukumu yenu ya kuwapa chakula cha roho kondoo wenu.

Nimeonelea leo niongee nanyi ili kuwaomba wazee wetu mtusaidie sisi Wananchi wenzenu ambao wengi ni kondoo wenu katika tatizo hili kubwa sana lililotokea katika nchi yetu ambapo kuna watu wamejiinua na kutenda udhalimu wa wazi wa kubomoa misingi ya nchi yetu kwa kuvunja Katiba waziwazi tena kwa kibri kikubwa! .

Ndugu Maaskofu: Sisi wananchi twawategemea nyinyi siku zote kusaidia kuwarudisha watawala katika msitari na mmekuwa mkitetea haki bila woga kwa sababu mtawala asiyekemewa akikosa basi hujiona kuwa yeye hakuna cha kumzuia katika nchi na hivyo huendelea kufanya ufedhuli juu ya ufedhuli hadi kufikia kuitumbukiza nchi mahali pabaya.

Ndugu Maaskofu: Mlisimama kidete kuukemea utawala wa Magufuli juu ya haki za binadamu na demokrasia, Japo utawala ule haukupenda hivyo vitu lakini ilisaidia kupunguza kwa kiasi fulani matendo ya watu wasiojulikana!

Na mlisimama kidete kwenye suala la Korona na kuwataka waumini waanze kuchukua tahadhari, na kwa kiasi kikubwa maagizo yenu yalisaidia kupunguza kiwango cha maambukizi ambacho kilikuwa katika viwango vibaya kabisa mwezi January hadi March mwaka huu

Ndugu Maaskofu: Katiba ya nchi ni jambo nyeti, sisi wananchi tunatambua wazi, kuwa kuchezewa kwa katiba huwa hakuna mwisho mwema.

Nawaombeni, kama vile mlivyokwisha kufanya kazi nzuri za kichungaji huko nyuma kukemea ujinga, ushenzi, uonevu na dhulma, Nakuombeni msimame sasa kwa ajili yetu tena MTOE NYARAKA ZA KUKEMEA UVUNJAJI HUU WA KATIBA UNAOFANYWA NA SPIKA WA BUNGE NA NAIBU WAKE kwa kuruhusu watu wasio wanachama wa chama chochote kuwa Wabunge!

Ndugu Maaskofu: Utaratibu uliotumika na chama cha CHADEMA kumjulisha spika juu ya kufutwa uanachama waliokuwa wanachama wake ndiyo huohuo uliowahi kutumiwa na vyama vya CCM na CUF katika suala linalifanana!

Ndugu Maaskofu: Pengine wapo watakaodhani hili ni suala la kisiasa tu liachwe hukohuko kwenye siasa. La hasha hili si suala la kisiasa, hili ni suala la KIKATIBA, na katiba ikivunjwa wazi huku nanyi mnashuhudia ba msiseme neno, basi mtakuwa mnasaidia uwezeshwaji wa uvunjifu wa katiba mkubwa zaidi huko mbele maana precedent imewekwa. Ila mkikemea hili, basi hata huko mbeleni wenye kukusudia kubunja katiba watafikirua mara mbilimbili

Ndugu Maaskofu: Nyie ni wadau wetu sisi wananchi katika kujenga taifa Huru zaidi na la Haki zaidi na la Maendeleo zaidi. Ninaleta ombi hili maalum kwenu mtusaidie wananchi, maana Spika na Naibu wake wameamua kutudharau na hatuna cha kuwafanya, Wana Kinga na hawashitakiwi popote!
Kabla ya kuwataka maaskofu wawakee kina Ndugai mnapaswa kwanza kuiambia dunia kuwa mnatambua matokeo ya uchaguzi wa 2020,mnalitambua bunge na mnawatambua wote walioshika nafasi baada ya uchaguzi ule.

Kama hamtambui hayo yote na hamuwatambui Kina Mdee sasa iweje mnataka kuwatoa katika eneo msilolitambua?
 
Kwenu Maaskofu, Amani ya BWANA iwe nanyi,

Ni matumaini yangu, mnaendelea salama na kwa amani tele katika majukumu yenu ya kuwapa chakula cha roho kondoo wenu.

Nimeonelea leo niongee nanyi ili kuwaomba wazee wetu mtusaidie sisi Wananchi wenzenu ambao wengi ni kondoo wenu katika tatizo hili kubwa sana lililotokea katika nchi yetu ambapo kuna watu wamejiinua na kutenda udhalimu wa wazi wa kubomoa misingi ya nchi yetu kwa kuvunja Katiba waziwazi tena kwa kibri kikubwa! .

Ndugu Maaskofu: Sisi wananchi twawategemea nyinyi siku zote kusaidia kuwarudisha watawala katika msitari na mmekuwa mkitetea haki bila woga kwa sababu mtawala asiyekemewa akikosa basi hujiona kuwa yeye hakuna cha kumzuia katika nchi na hivyo huendelea kufanya ufedhuli juu ya ufedhuli hadi kufikia kuitumbukiza nchi mahali pabaya.

Ndugu Maaskofu: Mlisimama kidete kuukemea utawala wa Magufuli juu ya haki za binadamu na demokrasia, Japo utawala ule haukupenda hivyo vitu lakini ilisaidia kupunguza kwa kiasi fulani matendo ya watu wasiojulikana!

Na mlisimama kidete kwenye suala la Korona na kuwataka waumini waanze kuchukua tahadhari, na kwa kiasi kikubwa maagizo yenu yalisaidia kupunguza kiwango cha maambukizi ambacho kilikuwa katika viwango vibaya kabisa mwezi January hadi March mwaka huu

Ndugu Maaskofu: Katiba ya nchi ni jambo nyeti, sisi wananchi tunatambua wazi, kuwa kuchezewa kwa katiba huwa hakuna mwisho mwema.

Nawaombeni, kama vile mlivyokwisha kufanya kazi nzuri za kichungaji huko nyuma kukemea ujinga, ushenzi, uonevu na dhulma, Nakuombeni msimame sasa kwa ajili yetu tena MTOE NYARAKA ZA KUKEMEA UVUNJAJI HUU WA KATIBA UNAOFANYWA NA SPIKA WA BUNGE NA NAIBU WAKE kwa kuruhusu watu wasio wanachama wa chama chochote kuwa Wabunge!

Ndugu Maaskofu: Utaratibu uliotumika na chama cha CHADEMA kumjulisha spika juu ya kufutwa uanachama waliokuwa wanachama wake ndiyo huohuo uliowahi kutumiwa na vyama vya CCM na CUF katika suala linalifanana!

Ndugu Maaskofu: Pengine wapo watakaodhani hili ni suala la kisiasa tu liachwe hukohuko kwenye siasa. La hasha hili si suala la kisiasa, hili ni suala la KIKATIBA, na katiba ikivunjwa wazi huku nanyi mnashuhudia ba msiseme neno, basi mtakuwa mnasaidia uwezeshwaji wa uvunjifu wa katiba mkubwa zaidi huko mbele maana precedent imewekwa. Ila mkikemea hili, basi hata huko mbeleni wenye kukusudia kubunja katiba watafikirua mara mbilimbili

Ndugu Maaskofu: Nyie ni wadau wetu sisi wananchi katika kujenga taifa Huru zaidi na la Haki zaidi na la Maendeleo zaidi. Ninaleta ombi hili maalum kwenu mtusaidie wananchi, maana Spika na Naibu wake wameamua kutudharau na hatuna cha kuwafanya, Wana Kinga na hawashitakiwi popote!
Kamanda: hambadiliki? This is old hat, we've seen it all before. NI Kanisa Katoliki linataka kutumuwa kama laundry kutakatisha Maaskofu wa KKKT wa CHADEMA, kama walivyojaribu kwenye Tume ya Warioba wakakwaa kisiki cha mpengo. Hawa ni KKKT wameandika wao, wala si tundulissu au mama kiwanga. Joyce Bulaya na Joyce2 ni wasabato utawashitaki Roma?
 
Maana ya 'secular state' unaijua?
Usitulishe maneno, sisi Wananchi hatujakutuma utusemee, ongea kivyako. Hao Maaskofu na Mashehe ya kwao yanawashinda sembuse haya ya upande wa pili? Hivi hujui kwamba hizi sadaka tunazotoa Makanisani na Misikitini mbali na matumizi mengie pia hutumika kutunza watoto wa Vimada wa hao Maaskofu na Mashehe? Nenda Mahakamani kama unaona Spika anakiuka Katiba
 
Back
Top Bottom