Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Kwa waliotembelea nyuma za watu wa pwani,watakuwa wameona vijumba kama vya kuchezea watoto ktk kaya za watu wengi mkoani pwani.Vijumba hivyi vimeezekwa kwa amkutu, mabati na nyasi, na ukubwa wake hauzidi ukubwa wa ndoo ya kuchukulia maji.Je nini maana yake?