Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 5,809
- 18,956
Kwaresma inakusaidia kuishi bila ya kitu kinachokutenganisha na Mungu wako.Kufunga kwa mtu anayemfuata Kristo ni kila siku haijarishi nikwaresma au sio kwaresma kiukweli ni kwamba
Ukiona unaishi maisha matakatifu kipindi cha kwaresma tu wewe sio mkristo we ni mpagani tu kama wapagani wengine
Hatuwezi mkristo kufanana na upande wa pili ambao wanaacha kula nguruwe kipindi cha mfungo tu
Ukiacha kuishi maisha matakatifu kisa sio kwaresma we ni MPAGANI SIO MKRISTO
Ukikifunga na kuishi kwa nadhiri ya kuokolewa nacho hata baada ya siku takriban 50. Bhasi itakuwa umeshinda pakubwa
Usisahau kwaresma ina vitu vitatu vikubwa
1. Sala
2. Sadaka
3. Matendo mema
Hivyo usiihukumu kwaresma kwa matendo ya waumini wake bali dhumuni la uwepo wake
Kwaresma njema mkuu