Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,942
Alichofanikiwa Kikwete ni kuteuwa majaji wengi na kutuongezea mzigo wa kuwatunza, kumbe hamkujuwa ni kwa nini aliwateuwa majaji wengi kwa kadiri ya uwezo wake.
Tangu ile Hukumu iliyokuwa chini ya jopo la majaji 7 wakiongozwa na Jaji Mkuu na kushindwsa kutenda haki katika kesi ya mgombea binafsi nilishakatishwa tamaa na utawala wa sheria nchi hii.
Tangu ile Hukumu iliyokuwa chini ya jopo la majaji 7 wakiongozwa na Jaji Mkuu na kushindwsa kutenda haki katika kesi ya mgombea binafsi nilishakatishwa tamaa na utawala wa sheria nchi hii.