assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
Tunamuomba Rais wetu aingilie kati ili suala hili likomeshwe.
Rais aliingilia kati suala la majambazi sasa hivi limepungua.
Rais wetu ni msikivu, nchi hii hatujazoea watu kutekwa ni jambo geni.
Tunamuomba aingilie kati na endapo watekaji watakamatwa waadhibiwe vikali.
Tumuombee Rais wetu kwani majukumu aliyonayo ni mazito.
Rais aliingilia kati suala la majambazi sasa hivi limepungua.
Rais wetu ni msikivu, nchi hii hatujazoea watu kutekwa ni jambo geni.
Tunamuomba aingilie kati na endapo watekaji watakamatwa waadhibiwe vikali.
Tumuombee Rais wetu kwani majukumu aliyonayo ni mazito.