Tunamuhitaji Amir Habib Jamal mpya

eddy

JF-Expert Member
Dec 26, 2007
15,037
9,953
The_National_Archives_UK_-_CO_1069-159-39.jpg

Waziri wa fedha aliyekaa wizarani kwa muda mrefu kuliko wote ni Amir Habib Jamal, alikuwa waziri tangu mwaka 1960 hadi 1985, kuanzia mwaka 1972 hadi 1975 alikuwa waziri wa viwanda na biashara kwa miaka mitatu tu alijenga viwanda zaidi ya hamsini vikiwemo viwanda vya ngozi na nguo, ndani ya uongozi wake tulishuhudia ukuwaji wa viwanda na uchumi wa Tanzania kwa hali ya juu. Hadi anaondoka wizara ya fedha thamani ya shilingi yetu ilikuwa shs 5 kwa dola moja ya marekani.

The_National_Archives_UK_-_CO_1069-157-139.jpg
 
Vinasaba vya amir jamal vipo wapi? I mean ajaacha family hapa tz
 
The_National_Archives_UK_-_CO_1069-159-39.jpg

Waziri wa fedha aliyekaa wizarani kwa muda mrefu kuliko wote ni Amir Habib Jamal, alikuwa waziri tangu mwaka 1960 hadi 1985, kuanzia mwaka 1972 hadi 1975 alikuwa waziri wa viwanda na biashara kwa miaka mitatu tu alijenga viwanda zaidi ya hamsini vikiwemo viwanda vya ngozi na nguo, ndani ya uongozi wake tulishuhudia ukuwaji wa viwanda na uchumi wa Tanzania kwa hali ya juu. Hadi anaondoka wizara ya fedha thamani ya shilingi yetu ilikuwa shs 5 kwa dola moja ya marekani.

The_National_Archives_UK_-_CO_1069-157-139.jpg
Nina hakika hayo yote aliyaweza kutokana na support, collective responsibility iliyojengwa na boss wake. Siku zote mtu wa chini hawezi kudeliver 100% kama hana support from his immediate supervisor/boss.
 
Vinasaba vya amir jamal vipo wapi? I mean ajaacha family hapa tz
Alivyo staafu alienda kuishi Canada na familia yake, nasikia mtoto wake mmoja anafanyakazi World Bank pamoja na mtoto wa Chopra ambaye nyumba yake ndio Ikulu ndogo ya Mwanza.
 
Alivyo staafu alienda kuishi Canada na familia yake, nasikia mtoto wake mmoja anafanyakazi World Bank pamoja na mtoto wa Chopra ambaye nyumba yake ndio Ikulu ndogo ya Mwanza.
Serikali imepanga hiyo ikulu ndogo au ilitaifisha???
 
Serikali imepanga hiyo ikulu ndogo au ilitaifisha???
Copra alikuwa kati ya matajiri wa mwanza, aliamua kutoa mali zake kwa serikali ikiwemo nyumba aliyokuwa akiishi na mashule aliyokuwa akimiliki ikiwemo shule ya sekondari Mwanza na shule ya msingi Nyanza.
 
Alivyo staafu alienda kuishi Canada na familia yake, nasikia mtoto wake mmoja anafanyakazi World Bank pamoja na mtoto wa Chopra ambaye nyumba yake ndio Ikulu ndogo ya Mwanza.
Ok amir jamal bado yupo hai?
 
Copra alikuwa kati ya matajiri wa mwanza, aliamua kutoa mali zake kwa serikali ikiwemo nyumba aliyokuwa akiishi na mashule aliyokuwa akimiliki ikiwemo shule ya sekondari Mwanza na shule ya msingi Nyanza.
Wazalendo wa nchi hii walikua zamani, sio akina Sabodo wanapiga kelele tu za uzeeni.....
 
Vinasaba vya amir jamal vipo wapi? I mean ajaacha family hapa tz

Mtoto wake mmoja anayeishi canada huwa anakuja mara kwa mara Tanzania kwenye makongamano mbalimbali ya kimataifa.ni mtunzi mahili sana wa vitabu huko canada
 
Dah!! Uyo mtoto awe na mapenzi ata kuja kunusuru uchumi wetu basi,na uyo chopra alikuwa ameacha legacy gani tz?

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Shule yake ndio ilikuwa shule pekee ya kutwa katika kanda ya ziwa, bila hiyo shule mwanza wangekuwa hata kiswahili hawajui,
 
Back
Top Bottom