Tunamuenzi Nyerere kwa ndimi zetu lakini mioyo yetu ipo mbali na maadili yake ya utu..............

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,422
911,172
10_11_hgsr7w.jpg

VICE-President, Dr Mohammed Gharib Bilal, hands over Uhuru Torch to the 2011/2012 National Torch Race leader, Ms Mtumwa Rashid Halfan from Kaskazini Unguja region in Zanzibar, after flagging it off at a ceremony held at Butiama in Mara Region on Friday. (Photo by Amour Nassor)
 
ccm hivi sasa inahaha kumuenzi Nyerere kwa vilemba vya ukoka kwa kila kitongoji kukiita jina lake.....................mambo ambayo kamwe hayatuongezei shibe au unene wa tafukari.........................................lakini kwenye mambo ya kimsingi wanafiki hawa wanamponda...........................issues of bread and butter............................where it counts most..........................shame on them all...........
 
ccm hivi sasa inahaha kumuenzi Nyerere kwa vilemba vya ukoka kwa kila kitongoji kukiita jina lake.....................mambo ambayo kamwe hayatuongezei shibe au unene wa tafukari.........................................lakini kwenye mambo ya kimsingi wanafiki hawa wanamponda...........................issues of bread and butter............................where it counts most..........................shame on them all...........
Absolutely true!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom