Binafsi nashangwaza sana na hii hali ya watu kuwa wanafiki sana, kama Madiba alichapwa viboko, aliteswa sana
kwa muda wa miaka 27 locked up almost third quarters of his life!! na bado akawasamehe waliomdhihaki , iweje
wewe leo mtu kakupora hako kapochi kako sababu ya matatizo yake yanayosababishwa na wanasiasa ambao
ndio waporaji wakubwa na bado tunawapigia makofi eti unakuja kumuua mtu kwa kumchoma moto sababu ya
kapochi kako af kesho unamuenzi Mandela kwa lipi...mnafiki mkubwa wewe na tena Mwenyezi Mungu awape
adhabu wale wote wanafiki.
kwa muda wa miaka 27 locked up almost third quarters of his life!! na bado akawasamehe waliomdhihaki , iweje
wewe leo mtu kakupora hako kapochi kako sababu ya matatizo yake yanayosababishwa na wanasiasa ambao
ndio waporaji wakubwa na bado tunawapigia makofi eti unakuja kumuua mtu kwa kumchoma moto sababu ya
kapochi kako af kesho unamuenzi Mandela kwa lipi...mnafiki mkubwa wewe na tena Mwenyezi Mungu awape
adhabu wale wote wanafiki.