alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Ni karibu mwezi sasa Chadema hakina Uongozi wa kitaifa na hii ni kwa sababu ya Viongozi waliokuwa wakihudumu mda wao kukoma.
Sasa ajabu na kwa upole wa ajabu msajili wa vyama vya Siasa amekalia kimya kitengo hicho cha uvunjaji wa katiba pasi na kusema lolote!
Sasa basi tunamtaka msajili mara moja atoe tamko kuhusu kuvunjwa kwa katiba ya Chama kile na hatua kali zichukuliwe kwalo!
Vinginevyo,tunamwomba Mheshimiwa Rais amchukulie hatua msajili wa vyama vya Siasa kwa yeye kutolitolea tamko jambo hilo baya na la ki dikiteta linalofanywa na Viongozi wale hewa na mda wao uliopita wa Chadema.
Sasa ajabu na kwa upole wa ajabu msajili wa vyama vya Siasa amekalia kimya kitengo hicho cha uvunjaji wa katiba pasi na kusema lolote!
Sasa basi tunamtaka msajili mara moja atoe tamko kuhusu kuvunjwa kwa katiba ya Chama kile na hatua kali zichukuliwe kwalo!
Vinginevyo,tunamwomba Mheshimiwa Rais amchukulie hatua msajili wa vyama vya Siasa kwa yeye kutolitolea tamko jambo hilo baya na la ki dikiteta linalofanywa na Viongozi wale hewa na mda wao uliopita wa Chadema.