Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,070
Siku hizi inadhihirisha kabisa anaandikiwa
HahahaaaaJoh Makini si ndio Deogratius Kisandu!!
Ha ha hili jibu ni zuri sana mkuuNi kama Roma tu ila nahisi icho ambacho akieleweki ndicho kinachowalipa kuliko kile kinachoeleweka so nahisi wanafanya kinachowalipa na sio kinachoeleweka
100% ukweli mtupu.Jamaa anabana pua siku izii.
Mimi ni mmoja wa mashabiki wa msanii Joh makini tangu anatoka akitengenezwa kuja kuchuana na msanii mwenye kipaji kuliko wote bongo (Chid benz).
Mwamba wa kaskazini alitikisa anga la mziki na kila mkwaju alioachia ulikuwa wa Moto ndio maana alipojiita Tz Jay z sikumbishia sana.
Nakumbuka ngoma zake kama Mfalme,Hao,muda,sijutii,Stimu zimelipiwa,Show za Joh,Kilimanjaro n.k, collabo alizopiga akangaa kama utaipenda ya Hussein machozi na nyinginezo.
Huyu Joh makini wa Weusi simuelewi kabisa yaan amepwaya katika uandishi kuliko zaman, hatumuoni kama Hip hop icon wa kaskazini yaani anakoelekea haeleweki kabisa.
Chondechonde tunamhitaj Joh Makini wa Hao, huyu wa madaraka,Nicome ndugu zake njooni mumchukue.
nikiskiaga huo wimbo unapofika kwenye huo ubeti huwa nazima radioEti”Nikiona kibinda mi nadinda nakitia mimba”ahahaaahaahhaahahahaHata kama kubadilika si kwa ujinga huo.Ptuh.