fugees
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 2,868
- 882
Alikiba na diamondi unawaelewaga??Kwanza nikiri Im his biggest fan..
Kwakweli nimevumilia bimeshindwa....
Nimempigania sana ila hapana..
Anaharibu.
Hii ngoma yake ya sasa ya mipaka ndo sijaielewa kabisa.
Wacha aende tu ...
Kama unawaelewa basi haiwezekani usimuelewe joh makini.
Makini kaimba sana katoa ngoma kali na za kueleweka mwanzo lakini hela ikawa ni ngumu kuikamata
Kaimba vya namna visivyoeleweka lakini hela kwambalii imeanza onekana..
Ndugu yangu shida ni hela imemtaka aimbe hivyoo..
Unaijua nyimbo ya dj snook ile apaa paaa apaaa ... ulishaielewa ile nyimbo ??? Lakina snooka alipiga hela.
Hivyo basi mwanzo nilikua nachukia namna joh makin anavyoimba ila nikaja jiuliza... jamaa anatafuta nini .. hela maisha mazuri ya leo na kesho
Pia anawatoto na mke pia sasa akiimba kama inavyotaka baasi hela asahau
Jiulize roma na stamina (rostam) na ule wimbo wao wa sitaki kibamia umeuelewa mwenzangu? Kama ndio basi huwezi kia huelewi ya joh makini
Tunawekana sawa mkuu.. mitazamo tofauti ndio inatufanya tuwe sawa.
Yaani kuwa fofauti ndio kunatufanya tuishi pamoja.