TAMKO
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 1,090
- 762
Ndogu Watanzania wenzangu..
hususan watu makini nguli wa mitazamo humu Jamvini, tutafakari hili kwa uzito unaostahili, Tanzania Tuliyonayo leo, Tanzania iliyopoteza Muelekeo, Tanzania tajiri iliyobatizwa jina la maskini, Tanzania inayoongozwa na makatili, wauaji, watu wa Damu , wasiojali utaifa wala wataifa, inahitaji Raisi mpya 2015. na raisi wetu tuangalie je ni kweli bado tunahitaji raisi mwenye mlengo wa Ulimboka style au Zito Style?.
Kifupi Ulimboka style of President candidate ni mtu mwenye vitu Vingi vya kupoteza, ni jasiri wa kuanzisha au kuibua hoja nzito lakini si jasiri wa kuziendeleza hadi ukomo, akitishiwa kidogo huftata mkia akaogopa kutulia kwa kuhofia kupoteza malavidavi ya mkewe, watoto, familia, nyumba, mali, kazi eeee na mengi tu. Utaskia "bora ujikalie kimywa mkeo asijekuwa mjane bure..watoto wako watasomeshwa na nami au watakuwa wanamwita dady!!Dady!! nani?, he mkeo ataolewa na jamaa zako na mali zako jamaa waliomuoa mkeo wataziinjoi na hao jamaa zako au mkeo atawalazimisha watoto wako wawaite dady!! wewe ukiozea udongoni!!" sentensi kama hizo lazima zimpate na tusimlaumu sana akizithamini, Ukombozi wa Taifa letu unahitaji mtu hasa wa kujitoa sio hizi blabla.
Zitto style of President candidate ni mtu asiye vitu Vingi vya kupoteza, ni jasiri wa kuanzisha au kuibua hoja nzito akazisimimamia bila kuangalia uso mbuzi wa mtu. sisemi kwamba Zitto ana wasifu wa namna hii lakini kidogo anakaribia, si kama Mtu ambaye usiku anaambiwa na mkewe "Honey achana nao hao watakufanya nijiskie mnyonge wakikuua, je wewe unapenda kitanda hiki Deo aje akilalie na kuninanihii wewe ukifa?, je unapenda malavidavi yote haya nije kumgawia Mwaikonde wewe wakikuasasinate, achana nao honey tulee watoto wetu"..Hoja yangu naikita zaidi kufikiria kwamba yamkini tunahitaji candidate ambaye hana Mke wala watoto kwa sasa, Jasiri asiyeogopa, mwenye uzalendo wa kweli..
sred zangu, na mamia ya post zangu humu JF nimekuwa nikiwapinga vikali viongozi sampuli ya Zitto, kwa kijimsemo kwamba kama huna familia unayoiongoza (hasahasa mke na watoto) utawezaje kuongoza jamii, lakini kwa sasa tukio la ulimboka kutekwa na kupigwa na watu ANAOWAJUA yeye Ulimboka, hiyo june 28, 2012 na kutibiwa anakujua yeye hadi kurejea nchini Agost 12,2012.. na ukimya aliokuwa nao hadi leo tunakaribia kufunga jamvi la mwaka, kinyume na matarajio ya jamii yote kwamba angeunguruma kwenye media na kuweka mambo yote hadharani na kutuachia kazi wananchi, badala yake kachikichia, lazima mtu uwe na kitu cha kujiuliza hapa, kitu gani kilichomfanya aisaliti matarajio ya jamii na je tuna haja ya kuhitaji viongozi wa sampuli hii?..
ni hoja yangu tu waweza kuijadili kwa hoja pia na mtazamo wako..
hususan watu makini nguli wa mitazamo humu Jamvini, tutafakari hili kwa uzito unaostahili, Tanzania Tuliyonayo leo, Tanzania iliyopoteza Muelekeo, Tanzania tajiri iliyobatizwa jina la maskini, Tanzania inayoongozwa na makatili, wauaji, watu wa Damu , wasiojali utaifa wala wataifa, inahitaji Raisi mpya 2015. na raisi wetu tuangalie je ni kweli bado tunahitaji raisi mwenye mlengo wa Ulimboka style au Zito Style?.
Kifupi Ulimboka style of President candidate ni mtu mwenye vitu Vingi vya kupoteza, ni jasiri wa kuanzisha au kuibua hoja nzito lakini si jasiri wa kuziendeleza hadi ukomo, akitishiwa kidogo huftata mkia akaogopa kutulia kwa kuhofia kupoteza malavidavi ya mkewe, watoto, familia, nyumba, mali, kazi eeee na mengi tu. Utaskia "bora ujikalie kimywa mkeo asijekuwa mjane bure..watoto wako watasomeshwa na nami au watakuwa wanamwita dady!!Dady!! nani?, he mkeo ataolewa na jamaa zako na mali zako jamaa waliomuoa mkeo wataziinjoi na hao jamaa zako au mkeo atawalazimisha watoto wako wawaite dady!! wewe ukiozea udongoni!!" sentensi kama hizo lazima zimpate na tusimlaumu sana akizithamini, Ukombozi wa Taifa letu unahitaji mtu hasa wa kujitoa sio hizi blabla.
Zitto style of President candidate ni mtu asiye vitu Vingi vya kupoteza, ni jasiri wa kuanzisha au kuibua hoja nzito akazisimimamia bila kuangalia uso mbuzi wa mtu. sisemi kwamba Zitto ana wasifu wa namna hii lakini kidogo anakaribia, si kama Mtu ambaye usiku anaambiwa na mkewe "Honey achana nao hao watakufanya nijiskie mnyonge wakikuua, je wewe unapenda kitanda hiki Deo aje akilalie na kuninanihii wewe ukifa?, je unapenda malavidavi yote haya nije kumgawia Mwaikonde wewe wakikuasasinate, achana nao honey tulee watoto wetu"..Hoja yangu naikita zaidi kufikiria kwamba yamkini tunahitaji candidate ambaye hana Mke wala watoto kwa sasa, Jasiri asiyeogopa, mwenye uzalendo wa kweli..
sred zangu, na mamia ya post zangu humu JF nimekuwa nikiwapinga vikali viongozi sampuli ya Zitto, kwa kijimsemo kwamba kama huna familia unayoiongoza (hasahasa mke na watoto) utawezaje kuongoza jamii, lakini kwa sasa tukio la ulimboka kutekwa na kupigwa na watu ANAOWAJUA yeye Ulimboka, hiyo june 28, 2012 na kutibiwa anakujua yeye hadi kurejea nchini Agost 12,2012.. na ukimya aliokuwa nao hadi leo tunakaribia kufunga jamvi la mwaka, kinyume na matarajio ya jamii yote kwamba angeunguruma kwenye media na kuweka mambo yote hadharani na kutuachia kazi wananchi, badala yake kachikichia, lazima mtu uwe na kitu cha kujiuliza hapa, kitu gani kilichomfanya aisaliti matarajio ya jamii na je tuna haja ya kuhitaji viongozi wa sampuli hii?..
ni hoja yangu tu waweza kuijadili kwa hoja pia na mtazamo wako..