GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,468
- 108,621
Tupunguze Kumsifia ' Kinafiki ' na tujipange Kwanza katika Kumsaidia ili apone na arudi katika ' Game ' kama kawaida. Kwa tunaojua Imani za Kiafrika kumpamba na kumsifia Mtu ' Mgonjwa ' sana ni ' Uchuro ' Kwake na dalili mbaya za Kifo chake kuja. Huu si wakati wa kila Mtu kutaka Kujilikana haraka na Jamii kupitia Yeye ( Mgonjwa ) bali ni wakati wa ' Kumpambania ' mno ili arejee.
Kwa ninavyowajua Watanzania wenzangu hii ' Kampeni ' ya kumsaidia Mgonjwa wetu Waandaji wengi wataitumia katika ' Kupiga ' na Kujitajirisha na huhitaji kuwa na Elimu kubwa kujua au kuona kwamba inavyofanyika sasa imekaa ' Kinafiki ' zaidi na siyo ' Kiuhalisia ' zaidi.
Mgonjwa hakuanza Kuugua leo na nadhani kama kweli hawa ambao nawaona Siku mbili hizi wanajifanya wanamjua sana, wanampamba na kumsifu kuwa bila Yeye wao wasingekuwa hapo huku wengine wakijifanya kwamba hawana ' Uadui ' nae wakati Kiuhalisia tunajua wana ' Mabifu ' ya Kufa Mtu, je walikuwa wapi huko nyuma? Walisubiri azidiwe hivi, akose Pesa ( Msaada ) ndiyo leo wajifanya wanampambania?
Tupunguze ' Unafiki ' na nyie mchangine ila Mimi kwakuwa ni Mtani wangu mkubwa sana halafu sina Hela nitamsaidia tu kwa ' Mizimu ' ya Kwetu Mkoani Mara ambayo nitaiomba ' imponye ' haraka ili tusialikwe Kula Uji, Ndizi, Lubisi na Nyama huko Mkoani Kagera na Machozi yakitububujika.
Nawasilisha.
Kwa ninavyowajua Watanzania wenzangu hii ' Kampeni ' ya kumsaidia Mgonjwa wetu Waandaji wengi wataitumia katika ' Kupiga ' na Kujitajirisha na huhitaji kuwa na Elimu kubwa kujua au kuona kwamba inavyofanyika sasa imekaa ' Kinafiki ' zaidi na siyo ' Kiuhalisia ' zaidi.
Mgonjwa hakuanza Kuugua leo na nadhani kama kweli hawa ambao nawaona Siku mbili hizi wanajifanya wanamjua sana, wanampamba na kumsifu kuwa bila Yeye wao wasingekuwa hapo huku wengine wakijifanya kwamba hawana ' Uadui ' nae wakati Kiuhalisia tunajua wana ' Mabifu ' ya Kufa Mtu, je walikuwa wapi huko nyuma? Walisubiri azidiwe hivi, akose Pesa ( Msaada ) ndiyo leo wajifanya wanampambania?
Tupunguze ' Unafiki ' na nyie mchangine ila Mimi kwakuwa ni Mtani wangu mkubwa sana halafu sina Hela nitamsaidia tu kwa ' Mizimu ' ya Kwetu Mkoani Mara ambayo nitaiomba ' imponye ' haraka ili tusialikwe Kula Uji, Ndizi, Lubisi na Nyama huko Mkoani Kagera na Machozi yakitububujika.
Nawasilisha.