Tunampenda kama Mama wa Taifa ila anahitaji public speaking training haraka sana!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,068
107,559
Nimekuwa nikimfuatilia kila mara tokea wakati wa Kampeni hadi Mumewe aliposhinda Urais na sasa kawa Mama wa Taifa rasmi ( First Lady ) ila nimegundua Mke wa Mheshimiwa Rais wetu Mama Janet Magufuli anahitaji mafunzo ya haraka mno ya kujua kuzungumza mbele ya hadhira kubwa kwani kila siku akipewa tu muda wa ama wa kusema chochote au kuzungumza amekuwa akinisikitisha sana kwani nisifiche wala kuwa mnafiki katika hili First Lady wetu hajui kuzungumza mbele za Watu ni si kitu kizuri.

Nitoe ombi tu kwa Wahusika kuwa hebu jaribuni kumpa basi mafunzo ili awe vizuri hasa katika kuzungumza halafu nimshauri tu kidogo Mama yetu Mpendwa wa Taifa ( First Lady ) kuwa aache kuzidisha kuwa mpole sana kwani naona kama vile upole wake muda mwingine anautumia eneo ambalo kimsingi hapatakiwi upole bali panatakiwa umakini ili kile anachokiwasilisha kilete mantiki mbele ya Umma.

Mwisho kabisa nimshauri Mama Janet Magufuli kuwa ajifunze kutofautisha kati ya kuwa Muumini wa TB Joshua na First Lady wa Tanzania kwani kwa majukumu yake ya sasa tunataka kumwona akiwa na umakini mkubwa pale anapokuwa anazungumza na Watanzania. Pia nimsihi tu aache kuzidisha kuwa mpole kwani kuna wakati huo upole wake anauonyesha mahala pasipotakiwa na kupelekea kutuboa.

Kila akipewa muda wa kuzungumza na Watanzania iwe ni Kanisani au Ukumbini au Uwanjani amekuwa akiharibu sana na hapa nisiwe mnafiki wala nisizunguke First Lady wetu hajui kuzungumza kabisa na kinachoniuma sana huyu Mama ni Mwalimu tena mzuri tu sasa nashangaa nini kinamfanya asiweze kuzungumza vizuri mbele ya hadhira.

Kama hatojali anaweza tu akawaomba hawa Wanawake wafuatao waweze kumfundisha kuongea vizuri mbele za Watu na siku zijazo asituboe tena na tukaanza kumtilia shaka:

  1. Mama Ananelia Nkya.
  2. Mama Hellen Kijobi Simba.
  3. Mama Jenister Mhagama.
  4. Mama Anna Mnghwira.
  5. Mama Regina Lowassa.
  6. Mama Magdalena Sakaya.
  7. Mama Sofia Mjema.
Naomba kuwasilisha na nitafurahi kuanzia siku chache zijazo nikimwona First Lady wetu Mama Janet Magufuli akitiririka vizuri bila kuona aibu, kuchekacheka na kuwa mwoga.
 
Kwny Upande wa Confidence na Accent ya kuzungumza kwa ma First Lady naamini hakuna aliewahi kumfikia Salma Rasheed ( Mama Salma) huwa katulia sana kwny Jukwaa na huwa Hana Papara Kama Mzee Pombe hajali angemshauri Janeth akachkue Desa la Salma lingemsaidia sana
 
Kwny Upande wa Confidence na Accent ya kuzungumza kwa ma First Lady naamini hakuna aliewahi kumfikia Salma Rasheed ( Mama Salma) huwa katulia sana kwny Jukwaa na huwa Hana Papara Kama Mzee Pombe hajali angemshauri Janeth akachkue Desa la Salma lingemsaidia sana

Ila huyu uliyemtaja ( Former First Lady ) a.k.a Chinga kuna Mtu hapo juu kasema kuwa hata yeye nae hana tofauti na the current First Lady na labda tofauti yao ni majina yao huyu Janet na yule Salma ila udhaifu wao unafanana utafikiri wale Watoto Mapacha wa Mzee Reginald Mengi aliozaa na Jacklyn Ntuyabaliwe a.k.a K ya lini.
 
Ila huyu uliyemtaja ( Former First Lady ) a.k.a Chinga kuna Mtu hapo juu kasema kuwa hata yeye nae hana tofauti na the current First Lady na labda tofauti yao ni majina yao huyu Janet na yule Salma ila udhaifu wao unafanana utafikiri wale Watoto Mapacha wa Mzee Reginald Mengi aliozaa na Jacklyn Ntuyabaliwe a.k.a K ya lini.

Kwa kuwa ni Opinion ya Mtu binafsi sina base ya kukubali au kukataa Ila kwa Mtazamo wangu Salma alikuwa na uwezo wa kuitendea haki nafasi ya u first lady
 
Kwa kuwa ni Opinion ya Mtu binafsi sina base ya kukubali au kukataa Ila kwa Mtazamo wangu Salma alikuwa na uwezo wa kuitendea haki nafasi ya u first lady

Labda tu mwenzetu ulivutiwa na kale Kasauti kake ila tusifiche hata yeye katika kuzungumza mbele ya hadhira alikuwa anasumbuliwa mno na kitu tukiitacho kwa Kitaalam on the spot public phobia.
 
Nimekuwa nikimfuatilia kila mara tokea wakati wa Kampeni hadi Mumewe aliposhinda Urais na sasa kawa Mama wa Taifa rasmi ( First Lady ) ila nimegundua Mke wa Mheshimiwa Rais wetu Mama Janet Magufuli anahitaji mafunzo ya haraka mno ya kujua kuzungumza mbele ya hadhira kubwa kwani kila siku akipewa tu muda wa ama wa kusema chochote au kuzungumza amekuwa akinisikitisha sana kwani nisifiche wala kuwa mnafiki katika hili First Lady wetu hajui kuzungumza mbele za Watu ni si kitu kizuri.

Nitoe ombi tu kwa Wahusika kuwa hebu jaribuni kumpa basi mafunzo ili awe vizuri hasa katika kuzungumza halafu nimshauri tu kidogo Mama yetu Mpendwa wa Taifa ( First Lady ) kuwa aache kuzidisha kuwa mpole sana kwani naona kama vile upole wake muda mwingine anautumia eneo ambalo kimsingi hapatakiwi upole bali panatakiwa umakini ili kile anachokiwasilisha kilete mantiki mbele ya Umma.

Mwisho kabisa nimshauri Mama Janet Magufuli kuwa ajifunze kutofautisha kati ya kuwa Muumini wa TB Joshua na First Lady wa Tanzania kwani kwa majukumu yake ya sasa tunataka kumwona akiwa na umakini mkubwa pale anapokuwa anazungumza na Watanzania. Pia nimsihi tu aache kuzidisha kuwa mpole kwani kuna wakati huo upole wake anauonyesha mahala pasipotakiwa na kupelekea kutuboa.

Kila akipewa muda wa kuzungumza na Watanzania iwe ni Kanisani au Ukumbini au Uwanjani amekuwa akiharibu sana na hapa nisiwe mnafiki wala nisizunguke First Lady wetu hajui kuzungumza kabisa na kinachoniuma sana huyu Mama ni Mwalimu tena mzuri tu sasa nashangaa nini kinamfanya asiweze kuzungumza vizuri mbele ya hadhira.

Kama hatojali anaweza tu akawaomba hawa Wanawake wafuatao waweze kumfundisha kuongea vizuri mbele za Watu na siku zijazo asituboe tena na tukaanza kumtilia shaka:

  1. Mama Ananelia Nkya.
  2. Mama Hellen Kijobi Simba.
  3. Mama Jenister Mhagama.
  4. Mama Anna Mnghwira.
  5. Mama Regina Lowassa.
  6. Mama Magdalena Sakaya.
  7. Mama Sofia Mjema.
Naomba kuwasilisha na nitafurahi kuanzia siku chache zijazo nikimwona First Lady wetu Mama Janet Magufuli akitiririka vizuri bila kuona aibu, kuchekacheka na kuwa mwoga.
Nadhani huyo uliomtaja ana umuhimu sana wa kujua hicho unachotaka yeye akijue

Nadhani ushauri huu anahuitaji zaidi Edward lowassa ambaye atakuwa Rais wenu 2020
 
Ninapenda wachugaji wanapo wasifia wake zao..pindi wanapo jitambulisha kwenye hadhara..hii INA wapa confidence kubwa saana wanawake nakujiona kumbe anathaminiwa na ammewe anajamli sn mchango wake..sasa pindi atakapo panda kwenye kwenye platform utafurahia angalia mfano Dr. Myles Monroe,
 
Kwny Upande wa Confidence na Accent ya kuzungumza kwa ma First Lady naamini hakuna aliewahi kumfikia Salma Rasheed ( Mama Salma) huwa katulia sana kwny Jukwaa na huwa Hana Papara Kama Mzee Pombe hajali angemshauri Janeth akachkue Desa la Salma lingemsaidia sana
sidhani, labda ana afadhali ila sio kua yupo vizuri
nishamsikilizaga mahojiano yake na hakuwa vizuri
 
Nimekuwa nikimfuatilia kila mara tokea wakati wa Kampeni hadi Mumewe aliposhinda Urais na sasa kawa Mama wa Taifa rasmi ( First Lady ) ila nimegundua Mke wa Mheshimiwa Rais wetu Mama Janet Magufuli anahitaji mafunzo ya haraka mno ya kujua kuzungumza mbele ya hadhira kubwa kwani kila siku akipewa tu muda wa ama wa kusema chochote au kuzungumza amekuwa akinisikitisha sana kwani nisifiche wala kuwa mnafiki katika hili First Lady wetu hajui kuzungumza mbele za Watu ni si kitu kizuri.

Nitoe ombi tu kwa Wahusika kuwa hebu jaribuni kumpa basi mafunzo ili awe vizuri hasa katika kuzungumza halafu nimshauri tu kidogo Mama yetu Mpendwa wa Taifa ( First Lady ) kuwa aache kuzidisha kuwa mpole sana kwani naona kama vile upole wake muda mwingine anautumia eneo ambalo kimsingi hapatakiwi upole bali panatakiwa umakini ili kile anachokiwasilisha kilete mantiki mbele ya Umma.

Mwisho kabisa nimshauri Mama Janet Magufuli kuwa ajifunze kutofautisha kati ya kuwa Muumini wa TB Joshua na First Lady wa Tanzania kwani kwa majukumu yake ya sasa tunataka kumwona akiwa na umakini mkubwa pale anapokuwa anazungumza na Watanzania. Pia nimsihi tu aache kuzidisha kuwa mpole kwani kuna wakati huo upole wake anauonyesha mahala pasipotakiwa na kupelekea kutuboa.

Kila akipewa muda wa kuzungumza na Watanzania iwe ni Kanisani au Ukumbini au Uwanjani amekuwa akiharibu sana na hapa nisiwe mnafiki wala nisizunguke First Lady wetu hajui kuzungumza kabisa na kinachoniuma sana huyu Mama ni Mwalimu tena mzuri tu sasa nashangaa nini kinamfanya asiweze kuzungumza vizuri mbele ya hadhira.

Kama hatojali anaweza tu akawaomba hawa Wanawake wafuatao waweze kumfundisha kuongea vizuri mbele za Watu na siku zijazo asituboe tena na tukaanza kumtilia shaka:

  1. Mama Ananelia Nkya.
  2. Mama Hellen Kijobi Simba.
  3. Mama Jenister Mhagama.
  4. Mama Anna Mnghwira.
  5. Mama Regina Lowassa.
  6. Mama Magdalena Sakaya.
  7. Mama Sofia Mjema.
Naomba kuwasilisha na nitafurahi kuanzia siku chache zijazo nikimwona First Lady wetu Mama Janet Magufuli akitiririka vizuri bila kuona aibu, kuchekacheka na kuwa mwoga.
Unamfuatilia MTU. Huna kazi ya kufanya ??
 
Akiruhusiwa kuanzisha taasisi na Warwa atajua na atakuwa mahiri kuongea na umma.Zamani alikuwa anaongea na watoto
 
Watanzania hatua cha kufanya sasa kama tumefikia hapo kuangalia Mama Janeth anaongeaje mbele ya hadhira.

Mama yuko vizuri tu kwa jinsi alivyo na a naongea vizuri tu kwa nafasi yake na jinsi anavyoongea Mara kwa Mara anajenga ujasiri hiyo ni nature.

Mwacheni Janeth afanye kazi zake kwa ustaarabu aliokuwa nao.Mmeongea sana kwa Magufuli mmeona kugumu sasa mmehamia kwa Mke aiseee kweli mwaka huu mmeamua na hii syndicate.

Mama Janeth Fanya kazi zako hakuna wa kukufundisha kuongea zaidi ya mama yako aliyefanya hiyo kazi hizo anazoongelea Gentamycine ni mbwembwe tu hakuna chochote.

Umefundisha watoto miaka yote na wamekuelewa Leo anatoa MTU tu porini huko eti hujui kuongea mbele za hadhira na wengine wanachangia kisa tu humpendi mume wake si uwendawazimu huu sasa kwa baadhi ya watz.
 
Ninapenda wachugaji wanapo wasifia wake zao..pindi wanapo jitambulisha kwenye hadhara..hii INA wapa confidence kubwa saana wanawake nakujiona kumbe anathaminiwa na ammewe anajamli sn mchango wake..sasa pindi atakapo panda kwenye kwenye platform utafurahia angalia mfano Dr. Myles Monroe,
Huyu "mchungaji" wetu sijawahi hata siku moja kumsikia anamtambulisha mke wake
 
Na huyo ni mwalimu sasa vipi wakati alipokuwa anafundisha. ..au kwa vile ilikuwa primary ....ila nahisi kuna kitu anaficha... inshort hakuna mawasiliano mazuri na mmewe yaan bora liende ....Pomb anapenda asifiwe yeyetu. ...ana ubinafsi sana . ..
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom