Kileghe
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 363
- 313
Kila mtu ameumbwa na haiba yake,wapo wauza sura mbele ya macho ya watu,vyombo vya habari na wapo ambao kweli iko ndani yao hawezi kuuuza sura mbele ya macho ya watu mana lazima uweke kaunafiki kidogo.
Nafikiri sio sawa kila kukicha kumsema first lady wetu, katiba yetu inasemaje? yeye hakuuomba urais ili aje aongee na wananchi wake sasa kwa nini mumtake apewe mafunzo ya kuongea mbele za watu?
Nafikiri sio sawa kila kukicha kumsema first lady wetu, katiba yetu inasemaje? yeye hakuuomba urais ili aje aongee na wananchi wake sasa kwa nini mumtake apewe mafunzo ya kuongea mbele za watu?