PopoMlalafi
Member
- Nov 5, 2021
- 61
- 76
Wadau kuna vipindi kibao vya radio na Tv ningependa kujua au tuweze kushea vitu Gani Industry yetu ya media inamiss? Hasta upande wa vipindi bya radio na Tv maana vingi vinafanana.
Ni mimi ndugu yenu PopoMlalafi ambae ni memba mpya humu japo jf Nina karibia miaka kumi. Nakaribisha maoni.Ninaiheshimu sana hii maktaba ya JF Hakika ni Hazina.
Naomba kuwasilisha.
Ni mimi ndugu yenu PopoMlalafi ambae ni memba mpya humu japo jf Nina karibia miaka kumi. Nakaribisha maoni.Ninaiheshimu sana hii maktaba ya JF Hakika ni Hazina.
Naomba kuwasilisha.